Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Uongo, zipo nchi nyingi sana unatembea hata kiliometa 20 bila kukutana na Askari barabarani.
Hiyo ni kawaida Dunia nzima, tofauti ni kwamba Nchi tajiri hutumia teknolojia, lkn huwezi kutembea zaidi ya km 10 hata Ulaya/USA/Japan bila kamera ya kucontrol mwendo wa magari, sasa Tanzania hakuna kamera kuna Polisi, ni kawaida Dunia mzima ni hivyo!
 
Hutujui wabongo sio? Wabongo hatuendi bila fimbo waafrika kwa ujumla esp watanganyika.

Ustaarabu, utaratibu, kufuata sheria bila shurti sio utamaduni wetu ipo wazi wala tusiume maneno.

Hii ishu ita-backfire tu huwezi mpa mbongo uhuru asikufurahishe.
Kama ni kweli basi tatizo liko kwa watawala tuwaondoe wao chanzo cha matatizo badala ya kuacha trafic wasumbue watu na njaa njaa zao
Hutujui wabongo sio? Wabongo hatuendi bila fimbo waafrika kwa ujumla esp watanganyika.

Ustaarabu, utaratibu, kufuata sheria bila shurti sio utamaduni wetu ipo wazi wala tusiume maneno.

Hii ishu ita-backfire tu huwezi mpa mbongo uhuru asikufurahishe.
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Naunga mkono hoja wapunguzwe,mf ukiingia mkoa wa Pwani Barabara ya Morogoro,kila baada ya km 3 kuanzia Mlandizi to Mailimoja kuna kundi la Traffic Police,yani hadi kero...
 
Polisi hawana msaada, ziwekwe speed radars, camera hii itasaidia sana maana watu watafata sheria, faini kwa speeding iwe kubwa hata 100,000 na hapo utaletewa tu taarifa yenye control number ambapo utapewa siku za kulipa.

Speed radars auto ni ngumu kwa mtu kuanza lia apunguziwe
Hizo speed radars utageuzwa mradi wa watu. Dawa ni kujenga njia kama ile ya Kimara- Kibaha tu!
Waweke na separator katikati kama walivyowekAga mapipa yale
 
Hizo speed radars utageuzwa mradi wa watu. Dawa ni kujenga njia kama ile ya Kimara- Kibaha tu!
Waweke na separator katikati kama walivyowekAga mapipa yale

Unatoa traffic wote ndo unaanza kujenga au unajenga kwanza afu unatoa traffic?
 
Hata mimi nimeshangaa misinterpretation ya Mr High IQ. Kinana hakusema kuwa polisi wote waondolewe barabarani ila wapunguzwe tu. Kwa kweli imekuwa toooooo much!

Inakuwaje safari ya kutoka Dar mpaka Morogoro inachukuwa masaa matano kwa kilomita 192?
Hili linafikirisha mno kipindi cha Late Benjamin W. Mkapa wakati njia ni hafifu watu walikuwa wanaenda within 2.5hrs hadi 3hrs at maximum mtu yuko Morogoro mjini.

Ila sikuhizi njia ni pana lami laini na safi ila watu wanatembea 5hrs na kiini cha tatizo ni hao hao askari.

Kimsingi mimi niko tayari kuendesha gari usiku kwenda safari yeyote ya mkoa kwa mkoa ila sio kero za kuombwa Rushwa kila saa.
 
Unatoa traffic wote ndo unaanza kujenga au unajenga kwanza afu unatoa traffic?
Mkuu niamini hao hao Trafic watazing'oa na kusingizia wezi kwani camera si waliwahi wekaga njia ya Morogoro road hio wahuni wakapita nazo.
 
Low IQ Boss Kijakazi dish leo limeyumba I guess temporarily! Hujamwelewa kabisa Kinana! Shida ni kuwa tuna utitiri wa trafiki kila mahali wanaodai rushwa na kuchelewesha kijinga jinga tu watu kwenda majobu!! full stop.

Mbona ajali zinaendelea na trafiki wapo?
Jamaa mmoja ulaya akiendesha gari mwendo kasi polisi walimkimbiza na hakusimama wakamzingira na wakachukua leseni yake huu sasa ni mwaka wa tano gari lake analo mwanae akitaka kutoka anamwita aje ampeleke town !

Mwarobaini wa ajali si kujaza trafik bali ni kutunga sheria mpya na adhabu kali zaidi za makosa ya barabarani mf kusababisha ajali ikaua mtu leseni ichukuliwe miaka mitano na kifungo miezi mitatu, magari mabovu yazuiliwe road, mwendokasi tochi faini 50,000 kosa la kwanza, mabasi kujaza abiria faini 100,000 mbona Samia atapiga pesa kama kwenye tozo tu!
 
Ushauri wa Kinana ni sahihi 100%. Hapo ni suala la wahusika kuitafuta njia nzuri kuhakikisha sheria na taratibu zinazingatiwa. Wanaweza hata kuboresha doria na kuweka mifumo mikubwa zaidi ya Kuchunguza , vilevile kuweka sheria Kali zaidi za makosa ya barabarani KAMA INAVYOFANYIKA NCHI ZA ULAYA.

KUNA NCHI ULAYA UNACHANGANYIKIWA UNAPOKUTWA NA TRAFFIC OFFENCE.

Nchi nyingi huwezi kuta kila km 1 eti unasimamishwa, huwezi kuta utitiri wa traffic kama hapo Bongo.

Pia tatizo la Tz yaani ni watu wanaopinga na kukosoa kila Idea Mpya hata kama ina tija, yaani kuwaondoa kwenye maisha waliyoyazoea ni shida sana (rigidity).

Nakumbuka suala maoni ya kuanzishwa vyama vingi, asilimia kubwa walikataa, Katiba mpya wengi wanahoji yanini wakati ipo hii, kuwatoa Machinga barabarani watu wanaona sio sawa kabisa, sasa ushauri wa Kinana nao umeshatafsiria kuwa nongwa.

Timu ya Yanga ibadilishwe mfumo wa kiuendeshaji ikaonekana hapana kabisa eti watuache na timu yetu hii tumeanza nayo kabla hata ya vita vya pili vya dunia.
Mob psychology ndio inazingua sana
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Hata yeye mwenyewe, msafara wake usipoongozwa na askari, na wengine kufunga njia ili apite, hawezi kutoboa, kiongozi kama huyu ana walakini kwenye ishu ya uadilifu
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Wahalifu hamjifichi
 
Ajali highwaY zitengwe wa kwenda na wa kurudi lanes zao tofauti. Uone kama ajali hazitapungua kwa 90%. Nature ya ajaĺi zeTU ni head on head collision.
Hapa kwetu kuna chawa kazi yao nikupotosha kutukana watu na kutetea serekali
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Wewe high Q
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Low IQ !!!
 
Kuweka kamera kila mahali ni gharama na hawawezi kumudu na ndiyo maana badala yake Polisi wanakaa barabarani, nchi nyingine hauoni Polisi kwa maana wana teknolojia lkn hata hizo nchi kabla ya kutajirika ziliweka polisi barabarani pia!
Teknolojia inaongezeka efficiency na kupunguza gharama wewe unaweka askari 6 kwa ajiri ya tochi moja?
 
Hapana hauko sahihi!
Polisi wamefanya barabarani sehemu ya kukusanyia fedha(rushwa)!

Huwezi kuweka Trafiki polisi kila baada mita 200, eti unazuia ajali.

Kuna siku nimetoka Dar saa sita mchana nikafika Morogoro jioni saa 11 mpaka nikajiuliza hivi Askari wote wahamishiwa barabarani?

Na Askari wengi ni wajinga hawa sense yoyote kwa wanakwamisha shughuli za kiuchumi kwa kaguzi zao za kila baada ya mita 200.

LAZIMA WADHIBITIWE!!
Kwa nn utoe rushwa kama huna kosa??
 
Traffic wanahaha hivi sasamaji shingoni
Tuwekeze kwenye teknolojia siyo watu kuacha kulinda raia na mali zao
Teknolojia wataihujumu tu sababu wanataka wasimame wao wachukue buku buku zetu.
 
Back
Top Bottom