Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Uongo, zipo nchi nyingi sana unatembea hata kiliometa 20 bila kukutana na Askari barabarani.
Hiyo ni kawaida Dunia nzima, tofauti ni kwamba Nchi tajiri hutumia teknolojia, lkn huwezi kutembea zaidi ya km 10 hata Ulaya/USA/Japan bila kamera ya kucontrol mwendo wa magari, sasa Tanzania hakuna kamera kuna Polisi, ni kawaida Dunia mzima ni hivyo!