Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Hapo umenena. Nchi zetu hizi watu hatujastaarabika sana, kwa hiyo bado tunahitaji usimamizi wa karibu sana.

Sasa anatokea mlevi mmoja tu eti Police wamejazana mno Barabarani, watu wanashangilia.
Ni shida kweli kweli.
Ushauri wa Kinana ni sahihi 100%. Hapo ni suala la wahusika kuitafuta njia nzuri kuhakikisha sheria na taratibu zinazingatiwa. Wanaweza hata kuboresha doria na kuweka mifumo mikubwa zaidi ya Kuchunguza , vilevile kuweka sheria Kali zaidi za makosa ya barabarani KAMA INAVYOFANYIKA NCHI ZA ULAYA.

KUNA NCHI ULAYA UNACHANGANYIKIWA UNAPOKUTWA NA TRAFFIC OFFENCE.

Nchi nyingi huwezi kuta kila km 1 eti unasimamishwa, huwezi kuta utitiri wa traffic kama hapo Bongo.

Pia tatizo la Tz yaani ni watu wanaopinga na kukosoa kila Idea Mpya hata kama ina tija, yaani kuwaondoa kwenye maisha waliyoyazoea ni shida sana (rigidity).

Nakumbuka suala maoni ya kuanzishwa vyama vingi, asilimia kubwa walikataa, Katiba mpya wengi wanahoji yanini wakati ipo hii, kuwatoa Machinga barabarani watu wanaona sio sawa kabisa, sasa ushauri wa Kinana nao umeshatafsiria kuwa nongwa.

Timu ya Yanga ibadilishwe mfumo wa kiuendeshaji ikaonekana hapana kabisa eti watuache na timu yetu hii tumeanza nayo kabla hata ya vita vya pili vya dunia.
 
Nani kaongea hoja ya kipumbavu kiasi hicho? Kwamba police watoke barabarani? Hivi wanajua wanachokiongelea? Madereva wapuuzi kabisa anaendesha gari anasinzia kumbe katoka bar saa 11, afu saa 12 ndo dereva anae tegemewa.
Naona wewe hata hukusikiliza hicho alichozungumzia Kinana.
 
Kama leo jumamosi ndio huwa hatari. Unakuta kikundi cha Askari watano halafu wamepaki gari zao private pembeni.
Nani anawawekea mafuta? Hapo katikati waliacha ila sasa hivi magari binafsi yapo vichakani.
 
Mwenye IQ ndogo ni ww. Afu una ita watu low IQ; nchi gani Ulaya ina utitiri wa Trafic kama Tz? Hata hawazuii ajali kazi kukusanya rushwa tu. Ebu kama wanaweza kazi...wapangwe mitaani kuzuia wezi.
Ajali ni uzembe wa Trafic ukaguzi ktk vituo vikuu. Technolojia ya Camera zifungwe barabarani. Nairobi , Mombasa kuna Camera barabara nyingi. Sema uvivu wako wa kufikiri nje ya Box ndio una ona una IQ ya 1GB.
 
Vituo vya Police, Police ni Wachache, wacha hao Traffic warudi Vituoni, kuihudumia jamii.,..
 
lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Nadhani hapa Tanzania ndiyo Jehanamu kwenyewe. Maana mema yanazodolewa, lkn maovu yanashangiliwa.
 
Mwenye IQ ndogo ni ww. Afu una ita watu low IQ; nchi gani Ulaya ina utitiri wa Trafic kama Tz? Hata hawazuii ajali kazi kukusanya rushwa tu. Ebu kama wanaweza kazi...wapangwe mitaani kuzuia wezi.
Ajali ni uzembe wa Trafic ukaguzi ktk vituo vikuu. Technolojia ya Camera zifungwe barabarani. Nairobi , Mombasa kuna Camera barabara nyingi. Sema uvivu wako wa kufikiri nje ya Box ndio una ona una IQ ya 1GB.
Nchi ambayo inaingiza magari mabovu ambayo yameshindika nchi zingine unategemea kukose ajali, kuna gari namba T 111 AAA zakutosha tangu zimetengenewa zaidi ya mika 50 ziko barsbara unategea kukose ajali bila kuondoa serekali hii ya ccm usitegeme kupungua ajali barabara
 
Hoja ya msingi hapa iwe kupanua barabara na askari watimize wajibu wao.

Ninapoishi kabla jpm hajafariki, watu walikuwa wametangaziwa wote wenye maduka ambayo yako eneo la barabara wasilipe kodi ya zaidi ya miezi 3 maana barabara ilibidi ipanuliwe mwezi wa sita 2021.

Wapuuzi hao wenye biashara zao maduka yao yako eneo la barabara walifurahi sana kusikia msiba ule. Wengine niliona wakifurahi kabisa eti hawaondoki tena.

Serikali nasikia wamewaambia waendelee barabara haipanuliwi tena.

Matokeo yake kila siku ya Mungu hii barabara lazima ichinje hasa zile gari zinazotoka stend saa 12 za mikoani , barabara ni ndogo sana. Bus kubwa kupisha ni kwa shida sana.

Rip jpm wetu kila siku tunakukumbuka.
 
Hiyo ni kawaida Dunia nzima, tofauti ni kwamba Nchi tajiri hutumia teknolojia, lkn huwezi kutembea zaidi ya km 10 hata Ulaya/USA/Japan bila kamera ya kucontrol mwendo wa magari, sasa Tanzania hakuna kamera kuna Polisi, ni kawaida Dunia mzima ni hivyo!
we nawe ni mjinga
kamera hazichukui za kubrashia viatu
 
Hizi ajali zote zinazotokea Trafiki hawakutosha? Suluhisho la ajali barabarani ni mwendokasi kuwe na vidhibiti mwendo au abiria wawe wanamdhibiti dereva. Pia barabara ziwe angalau na upana unaotosha na sio kujaza trafiki.

What is the solution in the meantime wakati mnasubiri hizi barabara pana au barabara zitajengwa overnight?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Inawezekana uko sahihi lakini kumuita mtu mwenye mawazo ya tofauti na yako ana Low IQ kunaonyesha jinsi gani ulivyo na Low IQ pia,Uwepo wa traffic wengi barabarani una faida na hasara zake,faida ni madereva wanapojua wanakutana na traffic Kila baada ya umbali flani inawalazimisha kufuata Sheria za barabarani ikiwemo kwenda mwendo unaotakiwa kulingana na eneo husika au alama zilizopo barabarani,kumbuka binadam hawafanani,Hilo tu linapunguza ajali jingi barabarani.Hasara ni pale maaskari wasio waadilifu wanapotumia Uwepo wao wa barabarani kama kitega uchumi Cha kukusanya pesa,inafikia wengine hawazuii makosa Bali wanavizia mtu afanye kosa Ili apate chochote(kiuhalisia wanafurahia mtu anapofanya kosa).Mzee Kinana kama anamshauri IGP apunguze askari barabarani pia aje na mbadala wa kupunguza ajali barabarani ikiwemo cameras n.k.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Kuwekwe camera za barabarani,atakaefanya kosa barabarani,kwenye njia kuu,camera itanasa,gari na namba ya gari na mda wa kosa lilipofanyika.Itajulikana gari hilo,mda huo ,dereva ni nani.
 
Ukweli lazima.usemwe, mfano kutoka Mbalizi Hadi Songwe pale kiwanda cha simenti, Kuna vituo vya trafic police visivyopungua vinne, yaani ndani ya dk 10, mnasimama, kero kabisa
 
Hoja ya msingi hapa iwe kupanua barabara na askari watimize wajibu wao.

Ninapoishi kabla jpm hajafariki, watu walikuwa wametangaziwa wote wenye maduka ambayo yako eneo la barabara wasilipe kodi ya zaidi ya miezi 3 maana barabara ilibidi ipanuliwe mwezi wa sita 2021.

Wapuuzi hao wenye biashara zao maduka yao yako eneo la barabara walifurahi sana kusikia msiba ule. Wengine niliona wakifurahi kabisa eti hawaondoki tena.

Serikali nasikia wamewaambia waendelee barabara haipanuliwi tena.

Matokeo yake kila siku ya Mungu hii barabara lazima ichinje hasa zile gari zinazotoka stend saa 12 za mikoani , barabara ni ndogo sana. Bus kubwa kupisha ni kwa shida sana.

Rip jpm wetu kila siku tunakukumbuka.

Kufanya barabara iwe dual carriage ni permanent solution, nini ni solution in the meantime wakati mnasubiri huo upanuzi wa barabara au barabara itapanuliwa overnight?
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Sehemu kubwa ya population yetu ni wajinga. Wanapenda maneno ya wanasiasa kuliko ukweli.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Trafiki wetu siyo waadilifu, wanalalamikiwa kwa kutofanya kazi zao scientifically, rushwa kwanza mengine baadaye
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Trafiki polisi Tanzania ni kero kubwa. Lakini hii haihalalishi mwanasiasa mzee aliyekwisha kaa kwenye uongozi mpaka akapitiliza muda wake, na ambaye ni mmoja ya watu waliotengeneza hilo tatizo, kujaribu kutoa solution kwa tamko la jukwaani. Haya mambo yafanyike kitaalam!
 
Hoja ya msingi hapa iwe kupanua barabara na askari watimize wajibu wao.

Ninapoishi kabla jpm hajafariki, watu walikuwa wametangaziwa wote wenye maduka ambayo yako eneo la barabara wasilipe kodi ya zaidi ya miezi 3 maana barabara ilibidi ipanuliwe mwezi wa sita 2021.

Wapuuzi hao wenye biashara zao maduka yao yako eneo la barabara walifurahi sana kusikia msiba ule. Wengine niliona wakifurahi kabisa eti hawaondoki tena.

Serikali nasikia wamewaambia waendelee barabara haipanuliwi tena.

Matokeo yake kila siku ya Mungu hii barabara lazima ichinje hasa zile gari zinazotoka stend saa 12 za mikoani , barabara ni ndogo sana. Bus kubwa kupisha ni kwa shida sana.

Rip jpm wetu kila siku tunakukumbuka.
Tatuzo sio JPM kufa au kufufuka tatizo ni ccm tangu tumepata Uhuru wameshindwa kujenga miundo mbinu kutaka madalakani awataki matoke yake nchi mzima kero tupu
 
Back
Top Bottom