Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Niambie hata mmoja aliyecheleweshwa makusudi zaidi yako.
Mimi natamani Polisi wapangwe Dar hadi Tunduma maana sijawahi kuona ajali inayotokea mbele ya Traffic. Zaidi nawaona traffic wakikimbizana kwenda eneo la ajali toka kwenye point zao za ukaguzi. Nachukia matendo ya polisi wahalifu lakini hili la Traffic kupunguzwa hasa kwa Dar na madereva wetu tunaowajua wamejaa stress!!
 
Trafic Hawa hapa

B7AA0EA6-DF91-4D1D-A293-5C0E8E3BE947.jpeg
D467F7E5-8B70-4E68-8594-1148E135F2FA.jpeg
5A1AB1DA-907A-4A36-80E7-0CB6EF0EFDE3.jpeg
9AD714AD-D245-44A8-96D8-35DE3618399C.jpeg
B2F6340F-9758-4855-8264-895E9AC7C6A2.jpeg
 
Hizi ajali zote zinazotokea Trafiki hawakutosha? Suluhisho la ajali barabarani ni mwendokasi kuwe na vidhibiti mwendo au abiria wawe wanamdhibiti dereva. Pia barabara ziwe angalau na upana unaotosha na sio kujaza trafiki.
 
Japo baadhi ya polisi wanapenda rushwa lakini uwepo wao tu unawafanya madereva wasimamie sheria.Ajali nyingi zinasababishwa na mwendo kasi.kuwapunguza polisi barabarani tutegemee maafa zaidi hasa mikoa ya kanda ya ziwa maana umbali was huko huwafanya madereva waendeshe kwa kasi
 
Jiji la Nairobi nchini Kenya limejaa camera Barabarani wao walipata wapi hizo fedha Za kuweka camera? Tanzania trafic ni kitengo cha IGP, na MaRPC

Hilo ni jiji la Nairobi, Kenya siyo Nairobi tu, hapa naongelea Tanzania nzima na barabara za masafa marefu mf. Dar -Tunduma, Tunduru- Masasi, au sijui Babati - Sumbawanga kamera zitatokea wapi ?
 
Hizi ajali zote zinazotokea Trafiki hawakutosha? Suluhisho la ajali barabarani ni mwendokasi kuwe na vidhibiti mwendo au abiria wawe wanamdhibiti dereva. Pia barabara ziwe angalau na upana unaotosha na sio kujaza trafiki.

Sasa kama nchi imefikia hapo hiyo ni failed state, kwamba abiria ndiyo wana kazi ya kudhibiti mwendo wa gari?
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Inawezeka wewe Ndio mwenye IQ ndogo , sio kweli kwamba 90% ajali ni uzemba wa madereva bali madereva wamekuwa wakisingiziwa ukweli ni kwamba barabara ninyembaza sana magari ni mengisana barabara njia moja pia ubora wa baraba pamoja kuwa nyembamba magari yanapisha kwa ovartake badala ya magari yanakwende kupita kwenye njia zake na magari ya kurudi kupita kwenye njia zake bila kupita njia moja. Kwakifupi 90% ni uzembe wa serekali kukusanya kodi kubwa kwenye magari mafuta bila kujenga barabara za kutosha, kama kungekua na barabara zinazoendana na wingi wa magari ajali zisingekuwepo na hawa usalama barabara automatically wapotea kutana wingi wa barabara za njia moja. Matrafic ni wasumbufu sana barabaraba sio kweli kwamba wanazua ajali zaidi kukusanya pesa ifike muda vioongozi wakisiasa wajiuzulu kwakushindwa kujenga barabara zinazokwenda na wakati siokuzingizia madereva
IMG_20220730_100606.jpg
 
Nani kaongea hoja ya kipumbavu kiasi hicho? Kwamba police watoke barabarani? Hivi wanajua wanachokiongelea? Madereva wapuuzi kabisa anaendesha gari anasinzia kumbe katoka bar saa 11, afu saa 12 ndo dereva anae tegemewa.

Kuna siku moja nilikuwa nasafiri, yule traffic hadi leo namkumbuka. Alitusalimia baadae akamuendea dereva na kile kidude chao cha kupima walevi, akamwambia, endesha mwendo wa kawaida, wewe una watoto? Una wazazi? Una ndugu wanakutegemea? Basi kama ndio na hizi ni siku za sikukuu fata nilicho kwambia.

Tulifika kwa kuchelewa ila salama.
Nadhani huu ni utani police hata hizi daladala zitatumaliza. Jitu linakuwa mwendo kasi na alijafunga mkanda akimuona askari unaona kapunguza mwendo na kufunga mkanda.

Hi imenikera wasokuwa na lesen watajaa barabarani eeh Mungu tunusuru.
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Huo ni ujinga Sana,

Kuna maeneo bila traffic wengi utatokea mwingi Sana. Barabarani daladala zinapack kila eneo. Kama kweli unaendesha gari siku 1 pita barabara ya Tandale - sinza utaona daladala zinavyopaki kwenye barabara na kuwa usumbufu.


Kuna daladala Zinasimama sehemu sio za vituo, kabla ya maamuzi yoyote WAnasiasa wangepaswa kujiuliza hizi tabu zitamalizwa vipi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ki ukweli linataka umakini kulifanyia maamuzi na sio kukurupuka....... askari wetu wa barabarani Kuna muda wanakuwa kero lakini kwa namna akili za madereva wetu zinavyo function bado kunahitajika askari wa usalama barabarani hasa kwa sisi tunaotumia usafiri wa umma......

Kwa kweli muda mwingine madereva wetu wanafanya mambo ya kipuuzi na kuhatarisha maisha ya abiria na mali zao.....na huwa tunaona kuwa wanapokaribia maeneo ambayo wanahisi Kuna uwepo wa askari wanarudi katika weledi na kuzingatia sheria.........

Kwa kweli hili linafikirisha na kutafakarisha sana.......kwa upande mmoja ni kero lakini kwa upande mwingine ni balaa kubwa wakipungua maana sote tu mashahidi wa akili za Hawa madereva wetu.....
 
Polisi kusimamisha gari analolishuku ni kazi yake, hivyo unamaanisha nini unaposema unnecessarily?

Ndugu trafiki tafuta kipato cha ziada hizi hasira zako hazisaidii tafuta kazi uongeze kipato acha kutegemea rushwa.

Unaongea as if utrafiki ni bonge la profession wakati tunajua ni hizi darasa la saba na form four felia zenu mnahonga maboss wenu ili mpangwe utrafiki msumbue sumbue watu jioni mnapeleka hesabu kwa maboss zenu.
 
Inawezeka wewe Ndio mwenye IQ ndogo , sio kweli kwamba 90% ajali ni uzemba wa madereva bali madereva wamekuwa wakisingiziwa ukweli ni kwamba barabara ninyembaza sana magari ni mengisana barabara njia moja pia ubora wa baraba pamoja kuwa nyembamba magari yanapisha kwa ovartake badala ya magari yanakwende kupita kwenye njia zake na magari ya kurudi kupita kwenye njia zake bila kupita njia moja. Kwakifupi 90% ni uzembe wa serekali kukusanya kodi kubwa kwenye magari mafuta bila kujenga barabara za kutosha, kama kungekua na barabara zinazoendana na wingi wa magari ajali zisingekuwepo na hawa usalama barabara automatically wapotea kutana wingi wa barabara za njia moja

Na ndio maana haupaswi kwenda Mwendo kasi Tanzania kwa maana sheria na hali ya barabara hairuhusu!
 
Niambie hata mmoja aliyecheleweshwa makusudi zaidi yako.
Mimi natamani Polisi wapangwe Dar hadi Tunduma maana sijawahi kuona ajali inayotokea mbele ya Traffic. Zaidi nawaona traffic wakikimbizana kwenda eneo la ajali toka kwenye point zao za ukaguzi. Nachukia matendo ya polisi wahalifu lakini hili la Traffic kupunguzwa hasa kwa Dar na madereva wetu tunaowajua wamejaa stress!!

We hicho kitambi chako tafuta namna ya kukilea.
Kinana kashamshauri IGP cha kufanya sasa mnahaha life itakuwaje
 
Inawezeka wewe Ndio mwenye IQ ndogo , sio kweli kwamba 90% ajali ni uzemba wa madereva bali madereva wamekuwa wakisingiziwa ukweli ni kwamba barabara ninyembaza sana magari ni mengisana barabara njia moja pia ubora wa baraba pamoja kuwa nyembamba magari yanapisha kwa ovartake badala ya magari yanakwende kupita kwenye njia zake na magari ya kurudi kupita kwenye njia zake bila kupita njia moja. Kwakifupi 90% ni uzembe wa serekali kukusanya kodi kubwa kwenye magari mafuta bila kujenga barabara za kutosha, kama kungekua na barabara zinazoendana na wingi wa magari ajali zisingekuwepo na hawa usalama barabara automatically wapotea kutana wingi wa barabara za njia moja
We ni mjinga na hujawahi kuendesha gari ,



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
UZEMBE WA MADAREVA unatokana na mafunzo hafifu na upatikanaji wa leseni bila vigezo muhimu.
Wingi wa polisi barabarani unasaidia kukusanya pesa na sio kuzuia ajali..
Turudi kwenye kutoa mafunzo na sio kwenye faini ndipo tutapunguza ajali..
Pia barabara zetu nazo zipanuliwe..
 
Back
Top Bottom