Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Ndio maana nimemuuliza analo gari? Trafiki ni kero sana tena sana. Anza kutoka posta mpaka kibaha uone.
Una maanisha kuuliza kuwa mleta mada analo gari? So wasiokuwa na magari wasihoji huu upuuzi? Kwani tukipanda gari hatuoni uzembe wa madereva? Hata kama hatuna gari lazima tuongee lakini hata hivyo tunaendesha gari hata za office so tunajua umuhumu wa askari.
 
Wale Wameambiwa Waache Kero
Kama Nimtumiaji Wa Barabara
Tazama Uraratibu Wa Gari Kubwa Toka Nchi Jirani Zikitoka Dar Es Salaam
Zinakuwa Na Vituo Maalum Kwaajili Ya Ukaguzi


Kinana Kasema Uholela Wa Popote Tu Unasimamishwa Ukomeshwe Chap
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Low IQ ni yule ambaye anaamini kupunguza utitiri wa trafiki mijini na kuwapeleka upcountry ni kuondoa trafiki barabarani.

Hivi kuna
 
UZEMBE WA MADAREVA unatokana na mafunzo hafifu na upatikanaji wa leseni bila vigezo muhimu.
Wingi wa polisi barabarani unasaidia kukusanya pesa na sio kuzuia ajali..
Turudi kwenye kutoa mafunzo na sio kwenye faini ndipo tutapunguza ajali..

Hata kwa waliofunzwa vizuri bado hawafwati sheria kama hakuna wakuwauliza chochote!
 
Watanzania wengi ni wafuata mkumbo na wasiojua kipi wanakitaka kipi hwakitaki.

Sio madereva tu watanzania walio wengi hawawezi kujisimamia, wao ni bora wafike hawana miguu ila wamefika kwa wakati

Tuwaondoe traffic mwezi mmoja tu alafu turudi hapa tujadili hii mada.
 
Hata kwa waliofunzwa vizuri bado hawafwati sheria kama hakuna wakuwauliza chochote!
Tatizo sio kufata sheria tatizo ni serekali kushindwa kujenga baraba vizuri za mijini na vijiji pesa zinazokusanywa zinenda wapi
 
Sasa kama nchi imefikia hapo hiyo ni failed state, kwamba abiria ndiyo wana kazi ya kudhibiti mwendo wa gari?
Kwani gari limebeba nchi au abiria? Abiria ni kuku wa kisasa kwamba ukiwachinja ni sawa na ukiwafuga ni sawa? Hii nchi abiria hawawezi kumcontrol dereva kuhusu mwendo mpaka serikali. Nyerere shikamoo. Sasa kama dereva tu haiwezekani itakuaje akitokea raisi dikteta anayevunja katiba waziwazi na kuua watu majukwaani?
 
Kila jambo duniani linafaa kwa kiasi, likizidi haijalishi lilikuja kwa wema ila litaleta kadhia ndani yake. Uwepo wa trafic kama ambavyo wana umuhimu sana tu barabarani lakini idadi yao inapokuwa nyingi kiasi cha kuwa kero hiyo nayo ni shida, na ndio alichokisema mzee kinana.. ni kama leo mkitaka polisi watulinde mpaka sebuleni haiwezekani japo tunahitaji huduma yao ya ulinzi. Unaendesha gari posta mpaka fire ushakutana na trafic post zaidi ya saba, unajiuliza hii ni kwa ajili ya ajali tu kweli au kuna kitu kimejificha nyuma ? Atleast kwa barabara za masafa marefu mikoani huko ndo kuna tendency ya ajali nyingi na overspeeding.
Ndani ya dar wapi utasema unaendesha 120kph ?
Anyways, ni maoni yake na polisi wameona yana mantiki.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Only 8n Tz unaweza enda kwa kijiji ukawapikia wali na pombe na kamuziki ukaonekana mtu mwingine akajenga hosp wakamuona mbahili na asie faa while wanatibiwa kwenye hosp amejenga mwisho wote wakaenda kuomba ardhi heka 100 akapewa alie wapa misosi... Mungu help us
 
Conl Kinana ana haki ya kutoa maoni yake baada ya kusikia kero za Barabarani. Alitakiwa ajibiwe kisayansi sio kisanii.
Tatizo ni Sheria za Barabarani kuwa nyingi lakini pia mahakama zetu nazo Kuna wakati zinachelewesha kesi .

Kuna wakati mtu hataki kuandikiwa faini mpaka mahakamani. Sasa mziki wake unakua ni wa kupotezeana muda na taratibu mara za kukaa kizuizini n.k.

Wanadili Sheria TU na faini ziwe ndogo. Kila kosa liwe na kiwango chake Cha faini. Faini iwe Elfu kumi kama bodaboda. Na iwe askari akimkamata mtu amhudumie Kwa haraka na asiyetoa ushirikiano na Polisi wakati wa kuandika faini basi afikishwe mahakamani.
Hii itapunguza rushwa. Na pesa nyingi zitaingia Serikalini.

Lakini pia miundo mbinu inachangia sana ajali

Hivi Kwa mfano Kwa Nini pasiwe na Barabara inayekwenda Arusha au Kigoma Kwa sambamba na reli. Hiyo iwe ni Kwa ajili ya magari madogo na malori.
Kwanza Haina Kona nyingi na milima.
 
Kimara hadi Ubungo kuna vituo vitatu vya askari wa barabarani...

Kazi yao kukusanya mpunga tu
 
Aisee hili hata mm limenishangaza sana
Hata mimi inanishangaza polisi kutekeleza amri ya katibu mkuu wa chama cha siasa ambae anajipendekeza kwa madereva wanapoenda kuvunja sheria polisi lazima wasimamie taaluma yao katika kulinda usalama wa Wananchi mabarabarani co kusikiliza waña siasa.
 
Ingekuwa vizuri kama kungetolewa maelezo kwa nini ameona huu ushauri ni sahihi kuukubali pengine wangeeleza mwanzo walijazwa barabarani kwa lengo gani?
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Hata mimi nimeshangaa misinterpretation ya Mr High IQ. Kinana hakusema kuwa polisi wote waondolewe barabarani ila wapunguzwe tu. Kwa kweli imekuwa toooooo much!

Inakuwaje safari ya kutoka Dar mpaka Morogoro inachukuwa masaa matano kwa kilomita 192?
 
We ni mjinga na hujawahi kuendesha gari ,



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
We ni mpubavu hujui unatengeneza propaganda zakusingizia madereva kusababisha ajali ili kuongeza idadi ya traff officers barabarani makusanyo ya kodi za magari zianaenda wapi ? Pale bandari gari dogo ushuru kuanzia 5m kwenda juu kuna kodi ya barabara kwenye mafuta nanyinge nyingi pesa zinaenda wapi?zilipswa kujengwa baraba na alama kama hizi nchi mzima
IMG_20220730_100606.jpg
 
Back
Top Bottom