Low Profile ni Mbinu itakayokusaidia katika mapambano ya Maisha

Kwanini mtu "upambane na maisha? kwani ulijileta mwenyewe hapa duniani?

Mfumo wa maisha kamili tayari Muumba wetu katupa, tuufate tu huo, hatuna haja ya kupambana wala kujiumiza vichwa. Kila kitu tumeumbiwa sisi tukitumie na vipi tuishi tumeshapewa Mwongozo.

hatuna kabisa sababu ya "kupambana" na maisha.
 
Uko sahihi kabisa. Hata biblia inasema tusiwe kama mafarisayo wanaopenda kukaa viti vya mbele. Na zaidi kuna andiko jingine linasema kaa viti vya nyuma na pale mwenyewe akikuona na kukuhamishia kiti cha mbele basi utajisikia vizuri. Ukikimbilia vya mbele halafu akaja mwenye heshima kukuzidi na ukahamishiwa nyuma utaumbuka. Hii yote ni kutuasa tu-play low profile. Hata mimi ni mtu wa aina hiyo na kuna wakati nakwepa kufuatana na jamaa yangu fulani ambaye ni mtu wa kujitweza vibaya sana.
 
Nimeelewa zaidi hapo ulipogusia kuwa kanuni hii itafanya uwafahamu watu wako wa karibu vizuri. Maana wengi hupenda kujikweza na kuweka kila kitu hadharani hata pasipo na sababu ya msingi.

Na wengi watajiweka Mbali na wéwe Kwa Sababu wataogopa shida zako kumbe Wala huna shida kihivyo
 

Yesu huyo Mzee wa Falsafa za kujizima data na kujifanya Hana power
 
Ahsante mkuu wacha nikae hapa, nina Demu wangu alijifunza kutumia jf kutokana na mimi kuspend muda mwingi huku kias nikawa sina muda nae. Siku hiz anasema jf kuna Mtibeli ana nondo sana ndo zinaniharibu akili.🤣

Hongera sana.

Mwambie wewe ni Ndugu yàngu😀😀
 

Ya Mungu muachie Mungu yakaisari muachie kaisari.

Mungu hahusiki na kîla kitu.
Yapo àmbayo amewaachia viumbe wake wafanye Kwa utashi waô
 
Hiyo ni Moja ya mbinu Bora

Lakini nakushauri
Usitumie njia Moja tu
Hata mkwara Kuna sehemu unakuvusha
Wanasema, pesa huna hata mkwala?

Vijana changanya mbinu
Tusiamin katika uhalisia na unyonge pekee

Unaweza pata favor ya kupata pesa na kula pisi kali Kwa kuvimba tu
 
Huu mkakati wa low profile umenipa utajiri wa Viwanja kwa bei rahisi.Naongea na Wananzengo kwa kujifanya mimi ni daraja lao huku nikikusanya data za kujitajirisha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…