Sawa ni ya mwaka 1997, hakukuwa na uchaguzi...
Mimi nataka sana kuiona na tuna haki ya wananchi kuambiwa maanake Lowassa kasahau kama JK bado ni rais na yupo madarakani.. Kwa hiyo ni muhimu aseme kweli JK alifanya nini na alituhumiwa nini kiasi kwamba leo asingekuwepo,... sijui ndio angeuliwa ama kutokuwa rais.. Ukweli tunautaka uwe wazi, na yeye mwenyewe tuna machungu naye bado asifikirie kumtishia JK ndio kamaliza ya kwake.
Mkuu Mkandara,
Jamaa anasahau kuwa kama ni madhambi hayo ya 1997 naye alishiriki kwenye huo uozo, anasahau kwamba tunafahamu ushiriki wake kumweka JK, anasahau alivyotumia media kuchafua wenzake.
Lakini zaidi ya yote anakwepa kuzungumzia mchakato wa kuipa zabuni Richmond kwa sababu anafahamu ushahidi unaomng'ang'ania.
Hana lolote huyo