daniel_mollel
Member
- Sep 30, 2011
- 67
- 16
Mkuu mi nawashangaa sana humu mashabiki wa Lowassa. Maana kama ni mpira upo half time, halafu yuko nyuma kwa goli
moja,... kwa vile mpira bado unadunda lolote linaweza kutokea kwenye CC, ila si jambo la kushangilia kabisa kwa mashabiki wa Lowassa kwa issue ya gamba kurudishwa CC. Wangeiua na kuizika palepale kwenye Nec.
Kumbuka azimio la gamba ndio litawaongoza wajumbe wa CC na azimio la kujivua gamba halikutamka ushahidi wa kimahakama, limeongelea wale "wanao tajwatajwa kwenye kashfa" na wananchi.. Kama bado kuna mtu anategemea ushahidi wa kimahakama you better go figure chenga ya mwili aliyopigwa Lowassa.
CC haina wenyeviti na makatibu wa mikoa(watu wake ni almost 3/4 ya kundi hili), haina wabunge wake(ambao ni wote kumi wanaowakilisha bunge Nec), haina wajumbe wa UVCCM except Kaimu Mwenyekiti Malissa(Nec alikua na wajumbe 10 kati ya 12 wa UVCCM), kwa kifupi he has a mountain to climb. Sanasana amebaki Malissa, Pindi Chana, na January Makamba, Khatib haeleweki, Wassira haeleweki na Mwenyekiti haeleweki. Wajumbe wa CC waliobaki wote si watu wa njaa ya kumtumikia mtu binafsi...
mpira hauko half time! Umemalizika! EL aliipongeza NEC kurudisha hilo swala CC halafu huko watamwita ajieleze, na jambo la pili, mbona Lowasa tu ndiye anajadiliwa sana kwenye hili swala? Akipona itakuwaje? Waliyomhukumu watazungumza nini tena? Tuwe 'neutral.'