Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

  • Anaanza kuongea sasa...
  • Alishakaa ili aanze kuongea, kaondoka na inaelekea kama kuna jambo anaenda kuliweka sawa kwanza.
  • Ilitarajiwa angeanza saa 4 kamili lakini inaelekea ataanza saa 4 unusu, waandishi wapo wengi. Atajivua gamba?

Hapo kwenye red Mkuu kwanini aliondoka ukute alikwenda kupigwa mkwara na mkuu wa kaya ili asiongee alichotaka kuongea!!
 
Well,

Pamoja na mwandishi wetu kumweleza umuhimu wa yeye kuongelea suala la DOWANS/Richmond kakataa katakata na kusema ataliongelea wakati muafaka na si leo.

Hawezi kuongelea kitu ambacho yeye ni muhusika, Lowasa anaogopa kivuli chake mwenyewe, Hawezi kuzungumzia vitu ambavyo vinagusa maslahi yake.
 
Hana lolote, maswali ya hoja za msingi mbona hajibu.
 
Haya semeni nyinyi sasa, maana mnataka kumsemea?

Alichopanga yeye kusema ndicho atakachosema au leo mmekosa KICHWA CHA HABARI kwenye magazeti na vyombo vya habari? Hata mkiandika mwaka huu tutavuna bila mvua kwani hatutanunua magazeti na kuangalia Tv au Redio.

Kila siku nasema watanzania ni wavivu, Ben Mkapa alishasema lakini mnampuuza,, Mzee Edward L. Ongea aliyopanga kwa manufaa ya taifa na chama chako wa siku control nafikiri taaluma yao ipo chini hao washika kalamu.
 
wakuu mmpepgwa changa la macho juu ya hicho alichokisema lowasa......hiki ni kpande tu


".... unakumbuka kwa uwazi, na wewe ni shahidi wa gharama na maumivu tuliyoyapata kuliokoa Jimbo la igunga, wala muda haujapita hata madonda yetu ndani ya chama hayajapoa..kuna mpuuzi mwingine anataka kutuwekea wakati mgumu tena.. unisikilize, Mimi sitakubaliana na Hilo, wanachama wote.. hawatakubaliana na Hilo, wala Sitaruhusu Chama kifie mikononi mwangu.. Utanisamehe.. kwa nitalotenda....
 
Mkutano huu wa Lowassa na waandishi utazidi kumporomosha kisiasa kwakuwa walichotegemea wananchi kulingana na taarifa zilizotolewa mapema sicho alichofanya..
 

Wala haihitaji mtu mwenye uwezo wa kusoma a,e,i,o,u .. unapoita waandishi wa Habari Lazima uwe umejiandaa. hao mabwana wana maswali mengi, ya nje na ndani ya Topic unayoiongelea. na kama unavyojua kuwaita tu lazima uwape ile "kitu" ya kusafiria, kula na kulala. sasa huwezi kuishia kuongea that way na kukataa kujibu baadhi ya hoja zao.. ona hapo mnambowa.. jaribu kufikiria zaidi.. unganisha matukio na matamshi.. dogo sumbua kichwa.. fikiria..
 
Invisible naona huna tofauti na waandishi hao wa udaku

katika maswali yoote wewe ya Richmond ndio umeona muhim kumtuma mtu wako amuulize?

mbona hamjamuuliza kuhusu 300 milion usd alizo nazo Geneva?

acheni kutuchezea akili nyie watu

manajua fika akina kubenea watauliza maswali hayo hayo na nyie meenda kuuliza hayo hayo

Just when you think JF was different from MSM...wapi!
 
Sasa kama maswala muhimu anasema muda muafaka bado kinachomfanya aite waandishi ni kipi ambacho kina tija kwa taifa au huko kutoka ughaibuni ndio hadi iwe published hebu aache kuendelea kupoteza resource zetu bana alaa
 
Hajatishwa na mtu, anakimbia kivuli chake kutokana na kuwa kinara wa uovu, yeye ndiye mwenye kutegemea huruma ya JK na sio kweli kwamba JK anamtegemea au kumwogopa
 
Kumbe alitakakuujulisha umma kuwa amechoka kuvumilia kashifa sasa atachukua hatua za kimahakama. Kama ndivyo hivyo mimi namshauri tu atoe Tangazo kenywe magazeti na TV zote pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ili ieleweke.
 
Hivi matatizo tuliyonayo watanzania ni Dowans tu mbona hakuulizwa maswala ya msingi kama ukosefu wa waalimu shule za kata
 
Haya yaliulizwa hapahapa, ndo tukamwambia aulize vilevile. Did you present your Geneva issue mkuu?

Kuna mpya ambayo inashangaza, naogopa hata kuiweka hapa kwa sasa! Totally unexpected
 
Ni kweli amesema hivyo? Siku moja itakuja kumuhukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…