Inaonekana umeandika kiushabiki shabiki kitu ambacho si kizuri kwa mwaandishi. Ilitakiwa utoe vile alivyojibu na vile alivyoulizwa pasi na kuingiza ushabiki na kuacha suala kwa wasikilizaji au wasomaji watoe uamuzi.
Ok lakini thanks kwa taarifa.
Inaonekana umeandika kiushabiki shabiki kitu ambacho si kizuri kwa mwaandishi. Ilitakiwa utoe vile alivyojibu na vile alivyoulizwa pasi na kuingiza ushabiki na kuacha suala kwa wasikilizaji au wasomaji watoe uamuzi.
Ok lakini thanks kwa taarifa.
Inaonekana umeandika kiushabiki shabiki kitu ambacho si kizuri kwa mwaandishi. Ilitakiwa utoe vile alivyojibu na vile alivyoulizwa pasi na kuingiza ushabiki na kuacha suala kwa wasikilizaji au wasomaji watoe uamuzi.
Ok lakini thanks kwa taarifa.
Ama kweli Lowassa kiboko. Masaa mawili na nusu tu tangu thread ianze Replies 227 and Views 4,365 ? Je hiyo siku muafaka ukifika itakuaje?!
Wakuu,
Lowassa kaondoka hapa Monduli muda si mrefu na inasemekana kaitwa Ikulu.
Alichoongea hakikuwa kwenye mpangilio unaoeleweka na imezidi kushangaza kuona anaondoka mida hii. Tunafuatilia tutawafahamisha zaidi
Hii Kauli Lowassa upenda sana kuirudia rudia - Nadhani inamantiki fulani:
sijakuelewaHaya semeni nyinyi sasa, maana mnataka kumsemea?
Alichopanga yeye kusema ndicho atakachosema au leo mmekosa KICHWA CHA HABARI kwenye magazeti na vyombo vya habari? Hata mkiandika mwaka huu tutavuna bila mvua kwani hatutanunua magazeti na kuangalia Tv au Redio.
Kila siku nasema watanzania ni wavivu, Ben Mkapa alishasema lakini mnampuuza,, Mzee Edward L. Ongea aliyopanga kwa manufaa ya taifa na chama chako wa siku control nafikiri taaluma yao ipo chini hao washika kalamu.
nona kifo cha ccm kinabisha hodizile dakika 45 za ITV na Samwel Sita ndo zinafanya kazi.nasikia kuna dakika nyingine 45 zimebaki ambazo sita ataongea.nafikili hizo zilizobaki ndo zitamfanya Lowasa afunguke kiukwelikweli.kinachotakiwa tumtie moyo sita aendelee kutupasha zaidi ya mambo ya nchi yaliyofanyika hotelini.asubuhi inakaribia.mia
lowasa ndo kaongea kishabiki sana na kwa upuuzi wa hali ya juu