Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Nakubaliana na Invisible kuwa 'ficha upumbavu wako'. Kumbe ni afadhali wale wa wizara ya Nishati na madini waliokacha mdahalo star Tv kuliko huyu aliyeamua kuanika upuuzi wake kwa wandishi wa habari.
Hivi anafikiri magezeti yataweka headings gani kesho?
Lowassa anasema "ninyi wanahabari na sisi wanasiasa tumekuwa tukitumia muda wetu mwingi kujadili watu na propaganda za kisiasa zisizo na tija...."
Hivyo yeye kama mwanasiasa licha ya kulaumu matumizi ya muda mwingi matika masuala hayo yasiyo na tija, leo ameendelea kufanya hayo hayo anayolaumu kwa kuwapotezea waandishi muda wao na kujadili watu(wanahabari) na propaganda za kisiasa (eti sijamhujumu JK, eti hatukukutana barabarani)
Ama kweli nyani haoni kundule
Hivi anafikiri magezeti yataweka headings gani kesho?
Lowassa anasema "ninyi wanahabari na sisi wanasiasa tumekuwa tukitumia muda wetu mwingi kujadili watu na propaganda za kisiasa zisizo na tija...."
Hivyo yeye kama mwanasiasa licha ya kulaumu matumizi ya muda mwingi matika masuala hayo yasiyo na tija, leo ameendelea kufanya hayo hayo anayolaumu kwa kuwapotezea waandishi muda wao na kujadili watu(wanahabari) na propaganda za kisiasa (eti sijamhujumu JK, eti hatukukutana barabarani)
Ama kweli nyani haoni kundule