KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Sikuona jipya kwenye maelezo yake kamwe hajakidhi kiu ya waliokuwa wanamsikiliza kaeleza yale yasiokuwa ya msingi nakuzua maswali mengi kuliko majibu.
Ametilia mkazo katika kuvitisha vyombo vya habari akasahau kuwa katika enzi za wanamtandao yeye pamoja na maswahiba wake ndio walikuwa magwiji wakununua magazeti na vyombo vya habari halafu wakaanza kuwachafua maasmu wao wakisiasa leo hii mchimba kisima kaingia mwenyewe! Nani amtoe RA au JK wanamtandao wenzie.
Ama kweli leo ndio nimeamini mkuki kwa nguruwe ni sponji lakini kwa binadamu ni chuma tena chenye ncha kali.
Mzee wetu Salim A Salim yaangalie manyangau sasa yanatiana vidole machoni walana wao kwa wao kumbe malipo ni hapahapa duniani na bado tutashuhudia mengi
Ametilia mkazo katika kuvitisha vyombo vya habari akasahau kuwa katika enzi za wanamtandao yeye pamoja na maswahiba wake ndio walikuwa magwiji wakununua magazeti na vyombo vya habari halafu wakaanza kuwachafua maasmu wao wakisiasa leo hii mchimba kisima kaingia mwenyewe! Nani amtoe RA au JK wanamtandao wenzie.
Ama kweli leo ndio nimeamini mkuki kwa nguruwe ni sponji lakini kwa binadamu ni chuma tena chenye ncha kali.
Mzee wetu Salim A Salim yaangalie manyangau sasa yanatiana vidole machoni walana wao kwa wao kumbe malipo ni hapahapa duniani na bado tutashuhudia mengi