Membe ajifunze kwa Lowasa leo hii anavyotukanwa na wapinzani.
Chondechonde Membe usiende upinzani siku ukirudi CCM watakutukana kama anavyotukanwa Lowasa na vitoto vya graduate zero.
Kurudi upinzani sio issue , anatukanwa kwakua ni Kigeugeu...amewaumiza watu sana walio ccm na hata nje
Lowassa huyu leo watu walikufa kwa ajili yake
watu vilema kwa ajili yake
watu wamefilisiwa kwa ajili yake
Leo hii ccm na chadema kuna watu wanaitwa wa Lowassa hawaaminiki tena kote
Lowassa huyu kuna watu wako ndani kwa maumivu yake
Lowassa huyu hadi Mkwewe yuko ndani
Lowassa huyu hadi watoto wake wamekasirika kwa kukosa msimamo
Lowassa huyu binti yake kila siku analia mumewe yuko ndani na hata ahadi mwaka umepita ...
lowassa huyu amekuwa kama kibwetere , yule mtumishi wa Mungu aliyeangamiza wafuasi yeye akatoroka
Hakuna mfuasi wa lowassa hata mmoja leo hii hana maumivu yote hii kwa kumfuata yeye ..
wako wapi wakina Guninita na wazee wengine ambao leo hii wanaishi maisha ya Tabu kwa kumuunga yeye mkono
Viongozi ni Kina Raila .....kabla hajaingia deal ya Kisiasa anaweka kipengele cha kuwahusisha wafuasi wake wote ....sio watu wameteseka kwa ajili yake unabebwa kama mkoba na Rostam na wewe ni kiongozi ndio umewafikisha wenzako hapo walipo unaamua kuunga mkono juhudi kwa kuwa mbinafsi na tumbo lako .....angejenge heshima kama angehakikisha deal lake linahusisha msamaha kwa wafuasi wake wote especially ndani ya CCM ambao leo wanateseka .....
Heshima Yake Iko Wapi leo >?