Uchaguzi 2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020

Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho

Mzee Lowassa sasa anazeeka vizuri!
 
Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake

Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.

Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Vipi 2015 Mbowe alipobadili gia angani. Hakula matapishi yake? Ahahahaha!
 
Daaaah huyu Mzee kanifanya niilani ile kura yangu nlompigia,nlipanga folen kwa masaa karibia manne,niliamka asubuh,nkaenda kusali na kumuombea kwa Mungu halaf anafanya haya daaah walahi sitapiga kura tena ,wacha nitafute maisha ya familia yang tu
 
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020

Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho

Laigwanan kaufyata siku hazigandi itafika mahali lazima pumzi ikate,taka usitake utaungana naye tu hakuna namna
 
View attachment 1487688

Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !

labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .

Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
CCM wote Ni mashetani,kwakuwa Lowassa Ni CCM ,nayeye Ni Shetani.
 
Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake

Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.

Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.

Lowassa anaakili nyingi alipoona hawezi kuwa raisi akaamua ajisafishe kwa kuja kwa wanaomtukana. Wakamsafisha akarudi kwao akiwa msafi.
Sasa Lowassa ni mtu huru na kelele hamna.
 
Na alikuwa mgombea wa uraisi chadema na mlipiga deki barabara na kuzungusha mikono Kama feni
Kweli!?
Na tulipo mpokea cdm alikuwa malaika?
Ebu usiwe na jazba, kawaulize Mbowe, Msigwa, Lisu, Sefu, Mshana Jr , tindo, n.k. waulize, je lowada fisadi? maana kuna uwezekano ndio umetiza miaka 18 so huu ndio uchaguzi wako wa kwanza.
Fisadi na jizi lakini mlimpa agombee Urais huko kwenu
Sema walimpa nafasi ya kugombea sio kusema tulimpa! sijawai na sitofanya ujinga wa kuchagua wezi kama Lowassa, Sumaye Au Membe.
 
View attachment 1487688

Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !

labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .

Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Na Membe ndio huyo anakuja.
 
Lowassa anaakili nyingi alipoona hawezi kuwa raisi akaamua ajisafishe kwa kuja kwa wanaomtukana. Wakamsafisha akarudi kwao akiwa msafi.
Sasa Lowassa ni mtu huru na kelele hamna.
Vipi 2015 Mbowe alipobadili gia angani. Hakula matapishi yake? Ahahahaha!
Mbowe alifanya makosa, Lowassa Ni Jizi Tu Na ndio maana anaogopa kumkosoa magufuli kwa Kuhofia Kubinywa Kende Ila Ni Jizi Tu!
 
Back
Top Bottom