Uchaguzi 2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020

Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho

Safi sana
 
Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake

Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.

Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Uwe na adabu ,shenzi wewe,wazazi wako na ukoo wenu
 
Kila nikimuona Lowasa wa 2015 na huyu wa leo nagundua chadema ni mashoger na malayer wa siasa. Haiwezekani chama hakina msimamo wala misingi kinachoiamini na kuisimamia.
 
Mbona nyinyi ACT mlimbembeleza pia aje kwenu?
Mkuu The Boss
TANMO ni mwanaharakati huru. Hanaga siasa za Uchama na wala hafungamani na Chama chochote cha Siasa.

Ujio Wa Lowasa Chadema ulitufanya wapenzi Wa harakati kukatishwa Tamaa na kupoteza imani kwa Chama ambacho kwa wakati ule kilibeba matumaini makubwa ya Watanzania.
 
Mkuu The Boss
TANMO ni mwanaharakati huru. Hanaga siasa za Uchama na wala hafungamani na Chama chochote cha Siasa.

Ujio Wa Lowasa Chadema ulitufanya wapenzi Wa harakati kukatishwa Tamaa na kupoteza imani kwa Chama ambacho kwa wakati ule kilibeba matumaini makubwa ya Watanzania.
Naku mix sana na Yule lawyer wa ACT alierudi CCM
 
Nyie ni wajinga na mtaendelea kuwa wajinga, sasa ivi naskia mnajiandaa kumpigia deki membe
Kurudi upinzani sio issue , anatukanwa kwakua ni Kigeugeu...amewaumiza watu sana walio ccm na hata nje
Lowassa huyu leo watu walikufa kwa ajili yake
watu vilema kwa ajili yake
watu wamefilisiwa kwa ajili yake
Leo hii ccm na chadema kuna watu wanaitwa wa Lowassa hawaaminiki tena kote
Lowassa huyu kuna watu wako ndani kwa maumivu yake
Lowassa huyu hadi Mkwewe yuko ndani
Lowassa huyu hadi watoto wake wamekasirika kwa kukosa msimamo
Lowassa huyu binti yake kila siku analia mumewe yuko ndani na hata ahadi mwaka umepita ...
lowassa huyu amekuwa kama kibwetere , yule mtumishi wa Mungu aliyeangamiza wafuasi yeye akatoroka
Hakuna mfuasi wa lowassa hata mmoja leo hii hana maumivu yote hii kwa kumfuata yeye ..
wako wapi wakina Guninita na wazee wengine ambao leo hii wanaishi maisha ya Tabu kwa kumuunga yeye mkono

Viongozi ni Kina Raila .....kabla hajaingia deal ya Kisiasa anaweka kipengele cha kuwahusisha wafuasi wake wote ....sio watu wameteseka kwa ajili yake unabebwa kama mkoba na Rostam na wewe ni kiongozi ndio umewafikisha wenzako hapo walipo unaamua kuunga mkono juhudi kwa kuwa mbinafsi na tumbo lako .....angejenge heshima kama angehakikisha deal lake linahusisha msamaha kwa wafuasi wake wote especially ndani ya CCM ambao leo wanateseka .....

Heshima Yake Iko Wapi leo >?
 
Wallah ni kweli; kama hujafa hujaumbika. Kwa nini Lowasa anadhalilishwa hivi na kiasi hiki? Pengine hana watoto waliosoma wamshauri kutojidhalilisha kufikia hatua hii? Isitoshe muda wake wa kuishi umebaki kidogo, anaangaika na nini hadi ajidhalilishe hivi na kiasi hiki? Hakika, genuinely, nimesikitika sana!
 
Haya wale nyumbu wa kupig deki tukuane hapa safari hii tunapiga deki na sanitizer kabisa kwa mkuu wetu JPM,DAWA na sabuni ZIPO LOWASSA NAE ATACHANGIA.

Safari ya deki ni kutoka Dar mpaka Chamwino Dom MkALE NYAMA kidogo si viroba tu ,na ngombe analeta huyohuyo aliyewapa viroba.
 
CDM ina "marais wa mioyo wastaafu" wawili tu hadi sasa, Dr Slaa & Mamvi.

Huyo Mzee alikuwa jogoo la kukodi,likimaliza kidinya na mtetemea kuatamia linarudishwa kwao.


 
Mbona Sumaye hatukanwi.......Lowassa ni tofauti kuna watu wengi wanateseka kwa kumuunga yeye mkono hasa ndani ya ccm ....heshima yake ilikuwa kuacha siasa tu na kubakia Mzee kama kina
sijawahi kuona mwana siasa mvumilivu hapa Tanzania kama mzee Lowasa,
heshima kubwa kwake
Umenena kamarade...VIJANA wenzetu wengi hawataki kutambua kuwa Kuna KIPINDI MWANASIASA NI LAZIMA AWE HIVYO...
MBONA HAWAMSHANGAI mh.Raila Odinga?!!
NI VYEMA TUKAWEKA HISIA PEMBENI.
 
Back
Top Bottom