Safi sanaWaziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020
Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho
Uwe na adabu ,shenzi wewe,wazazi wako na ukoo wenuNaona Lowasa Anakula Matapishi Yake
Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.
Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Anaiga rafiki zake wa Chadema walivyomuamini baada ya kumtusi sana
Membe pia ni fisadi na taperi, waliompokea Lowassa pia walifanya makosa!Vipi membe
Mkuu The BossMbona nyinyi ACT mlimbembeleza pia aje kwenu?
Naku mix sana na Yule lawyer wa ACT alierudi CCMMkuu The Boss
TANMO ni mwanaharakati huru. Hanaga siasa za Uchama na wala hafungamani na Chama chochote cha Siasa.
Ujio Wa Lowasa Chadema ulitufanya wapenzi Wa harakati kukatishwa Tamaa na kupoteza imani kwa Chama ambacho kwa wakati ule kilibeba matumaini makubwa ya Watanzania.
Mlitaka kumpa nchi thou
Lowasa kuwa CHADEMA alikuwa ni asset au liability. CHADEMA lialia bado hamjajibu swali la Dr Slaahuna hoja
Rais wa mioyo yenuTunatetea mali zetu zisitaifishwe
Huyu jamaa hua ana tabia ya kukacha maswali magumuLowasa kuwa CHADEMA alikuwa ni asset au liability. CHADEMA lialia bado hamjajibu swali la Dr Slaa
Kurudi upinzani sio issue , anatukanwa kwakua ni Kigeugeu...amewaumiza watu sana walio ccm na hata nje
Lowassa huyu leo watu walikufa kwa ajili yake
watu vilema kwa ajili yake
watu wamefilisiwa kwa ajili yake
Leo hii ccm na chadema kuna watu wanaitwa wa Lowassa hawaaminiki tena kote
Lowassa huyu kuna watu wako ndani kwa maumivu yake
Lowassa huyu hadi Mkwewe yuko ndani
Lowassa huyu hadi watoto wake wamekasirika kwa kukosa msimamo
Lowassa huyu binti yake kila siku analia mumewe yuko ndani na hata ahadi mwaka umepita ...
lowassa huyu amekuwa kama kibwetere , yule mtumishi wa Mungu aliyeangamiza wafuasi yeye akatoroka
Hakuna mfuasi wa lowassa hata mmoja leo hii hana maumivu yote hii kwa kumfuata yeye ..
wako wapi wakina Guninita na wazee wengine ambao leo hii wanaishi maisha ya Tabu kwa kumuunga yeye mkono
Viongozi ni Kina Raila .....kabla hajaingia deal ya Kisiasa anaweka kipengele cha kuwahusisha wafuasi wake wote ....sio watu wameteseka kwa ajili yake unabebwa kama mkoba na Rostam na wewe ni kiongozi ndio umewafikisha wenzako hapo walipo unaamua kuunga mkono juhudi kwa kuwa mbinafsi na tumbo lako .....angejenge heshima kama angehakikisha deal lake linahusisha msamaha kwa wafuasi wake wote especially ndani ya CCM ambao leo wanateseka .....
Heshima Yake Iko Wapi leo >?
mtu ambaye huamini falsafa yake
Kumuweka mkwe wa EL ndani ndiyo falsafa ya JM?Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .
Amerudi CCM, mbona bado "anasomeshwa namba"?waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5
Lakin si amerudi alikotokea?Fisadi na jizi lakini mlimpa agombee Urais huko kwenu
Mbona Sumaye hatukanwi.......Lowassa ni tofauti kuna watu wengi wanateseka kwa kumuunga yeye mkono hasa ndani ya ccm ....heshima yake ilikuwa kuacha siasa tu na kubakia Mzee kama kina
Umenena kamarade...VIJANA wenzetu wengi hawataki kutambua kuwa Kuna KIPINDI MWANASIASA NI LAZIMA AWE HIVYO...sijawahi kuona mwana siasa mvumilivu hapa Tanzania kama mzee Lowasa,
heshima kubwa kwake
MBONA HAWAMSHANGAI mh.Raila Odinga?!!
NI VYEMA TUKAWEKA HISIA PEMBENI.