Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
ndugu wana-jamvi.
ninaomba kwa ishma na taadhima nidadis kidogo ili kupata kujuwa, japo kiduchu. huyu mzee hana biashara yoyote ambayo ni reputable, namaanisha hana kiwanda, hana vitega-uchumi vinavyotambulikana na kila mtu kama vile:
Bwana Yusuph Manji (Quality Group)
Bwana Reginald Mengi (IPP, Bonite)
Bwana SSB 'Bakhressa' (AZAM)
Mohamed Dewji (MeTL)
hao niliowataja hapo juu nikisikia 'ametoa milioni mia moja kwa kikundi fulani au kwenye harambee' sipatwi na shaka yoyote kwa sababu wana biashara zinazoeleweka. asa huyu mtu anayeitwa waziri mkuu mstaafu anapata wapi hayo mahela?
kama mTanzania nina nia, sababu na uwezo wa kujua.
ninaomba kwa ishma na taadhima nidadis kidogo ili kupata kujuwa, japo kiduchu. huyu mzee hana biashara yoyote ambayo ni reputable, namaanisha hana kiwanda, hana vitega-uchumi vinavyotambulikana na kila mtu kama vile:
Bwana Yusuph Manji (Quality Group)
Bwana Reginald Mengi (IPP, Bonite)
Bwana SSB 'Bakhressa' (AZAM)
Mohamed Dewji (MeTL)
hao niliowataja hapo juu nikisikia 'ametoa milioni mia moja kwa kikundi fulani au kwenye harambee' sipatwi na shaka yoyote kwa sababu wana biashara zinazoeleweka. asa huyu mtu anayeitwa waziri mkuu mstaafu anapata wapi hayo mahela?
kama mTanzania nina nia, sababu na uwezo wa kujua.