Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

naona umeamua kukisemea chama leo.

sie ndo tnaokijua. kunja miguu uswali.

haya tuachie wenyewe.
Mmawia
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu Dkt Pombe Magufuli au Prof Muhongo ndo wagombea Sahihi otherwise tuangalie jirani atakuja na mali ipi, Sifa ya Msingi kwa mgombea kutoka CCM ni kupata mtu asiemuonea aibu Mtu, Jk sababu kubwa ya kushindwa kwake ni kuwaonea aibu watu wake, Chadema angalau ilimsaidia kupunguza kasi ya wanamtandao maana walimzingira kama nzi kwny Kidonda lakini angalau ilisaidia

Tatizo la ccm siyo mgombea,tatizo la ccm ni la kimfumo
 
mbona humshangai mwalimu aloiasisi hiyo kauli tena akaenda mbali zaidi kuwa ccm sio mama yake. lowassa anasema kweli wana cccm tunataka mabadiliko ndani ya chama kama viongozi wachache hawataki hayo nabadiliko basi tutayatafuta nje ya ccm hatuko tayari kuona watu wanataka kurithishana uongozi kwa sababu zao binafsi hiyo si kazi ya viongozi ni kazi ya wanachama lakini edward lowassa akasisitiza na ana imani mabadilko hayo atayapata ndani ya ccm mkisikiliza sikilizeni vizuri
 
UKAWA wakatae dhahabu...!!? Hujaona bungeni wabunge wa UKAWA NDIO WA KWANZA kuwahi zile posho mamilioni 230 kwa kila mbunge..hakuna naliyepinga...wako kimyaaaaaa...

Sasa wamkatae Lowassa...!?

Jitekenyeni wenyewe na mkenuliane wenyewe
 
Jamani sio ataondoka ccm yaani hawataichagua ccm watamchagua kiongizi wa chama chochote, yeye alishasema asiempenda ccm aondoke.
 
Hivi ni chama gani kitakataa kumpokea mtu anayekubalika kiasi hicho kwa wananchi? Hii kitu ya ufisadi kwa Lowasa inaonekana haifanyi kazi. Ukawa watakuwa wajinga kabisa km wataacha kupokea huu mtaji mkubwa namna hii wa kura. Tunachotaka ni ccm kuondoka madarakani kwa njia halali au zisizohalali! mambo mengine tutayarekebisha tukishachukua nchi. Chonde chonde ukawa Lowasa akija msiache kumpokea. na hilo likitokea chukueni mpaka kina zitto tuchukue nchi kwanza mengine tutawekana sawa baadAYE. hIZI NDIO NJIA ZINAZOWEZA KUKIANGISHA CHAMA TAWALA.
 
yeye lowasa anadhani urais ni wa kununua. mwaka huu huenda ukawa ndo mwisho wake. ngoja tusubiri hiyo July
 
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari

lowasa nakuonya. uache vitisho. jina lako lazima likatwe. tafuta makaburi ya kuwa rais.
 
Hivi ni chama gani kitakataa kumpokea mtu anayekubalika kiasi hicho kwa wananchi? Hii kitu ya ufisadi kwa Lowasa inaonekana haifanyi kazi. Ukawa watakuwa wajinga kabisa km wataacha kupokea huu mtaji mkubwa namna hii wa kura. Tunachotaka ni ccm kuondoka madarakani kwa njia halali au zisizohalali! mambo mengine tutayarekebisha tukishachukua nchi. Chonde chonde ukawa Lowasa akija msiache kumpokea. na hilo likitokea chukueni mpaka kina zitto tuchukue nchi kwanza mengine tutawekana sawa baadAYE. hIZI NDIO NJIA ZINAZOWEZA KUKIANGISHA CHAMA TAWALA.

madhara yake yatakua makubwa kuliko faida giza na mwanga havikai pamoja
 
Wandugu,
Kila mmoja ameshuhudia jinsi Mh Lowassa alivyotikisa nchi. Watu wenye mawazo madogo wanasema jamaa anatumia pesa. Jiulize huyo jamaa ana trillion ngapi? Ukweli nyota yake imeng!aa na anakubalika na zaidi ya 60% ya wana CCM. Kama CCM wana ubavu basi wakate jina lake. Ataondoka na halmashauri kuu pale mkose hata coram ya kuendelea na kikao na CCM itakuwa kmezikwa rasmi siku ile. CCM haina njia ya mkato, mpitisheni mtu anayeungwa mkono na wanachama wengi or else?
Hiyo mbinu mliyokuja nayo ya kutisha ccm sijui kama itasaidia kumuokoa huyu fisadi mkuu. Subirini tu apewe kichapo ndiyo utakapogundua kuwa hakuna aliye mkubwa kuliko chama
 
Unalipwa sh.ngapi kumsafisha huyu mchafu mwenzako?


Wee unanuka njia ya haja kubwa ndio mchafu...!!! kajiswafi, huogi miezi..!! Lowassa is well ahead of the game... cheki leo Songea rekodi nyingine anaweka...!!!
 
Wala hanijui, sina association nae... but thru CCM, deep within my heart, my soul and looking the mass following him, huku maisha yalivyo kwa wengi, na hayuko serikalini na bado KAWA LULU YA WATANZANIA, inaonyesha waziwazi, HUYU NI MESSIAH...!!" Ni Lowassa pekee ndie anamvuto wa kisiasa, kiuchumi, kijamiii kwa sasa kuliko wote watia nia, tena kawaacha mbali sana...!!!

Lowassa ni mpango wa Mungu...!!!

Mkuu, maisha yakoje kwa wengi??? Hivi si haohao CCM wamekua wakipiga kelele bungeni wakisema CCM imefanikiwa kuwapa maisha bora waTanzania huku wakiunga mkono hoja 100%??? na huyu unayempigia chapuo akiwa humohumo??? Hayo mabadiriko yameshindikana kwa miaka 50 na yeye akiwemo, leo anakuja na mbinu gani alizoshindwa kuzitumia au kutoa mchango ndani ya chama chake???
 
lowassa cku atakayokatwa ccm itakufa kifo cha mende kwa sababu anasiri nyingi sana ccm itakua imejiharibia apo pia kwa hali iliopo lowasa kukatwa ni ndoto wakubali tu utaona wanafiki watakavyojipendekeza na waliomsema vby wote watapoteana wasione pa kujificha maana kama magoli ameshafunga kama ronald na messi anasubiri kombe tu ila UKAWA inamngojea inameza mate utazan simba amemuona swala aingie kwenye kumi na nane akamate koromeo
 
Back
Top Bottom