Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

ooooh!
Samahani, nilidhani umeitoa kwenye credible sources kumbe ni hilo gazeti la udaku, alafu ni kichwa cha habari tuu, maelezo yake ndani yanaweza kuwa tofauti kabisaaaaa!
maelezo ni haya figganigga kapotosha
Nasikitka kwa jambo hili . Soma mtanzania gazeti la leo .Mbowe amesema kuwa Anaona kama CCM wanamwamini sana Lowassa akasema UKAWA wanamsubiri ulingoni wao hawamhofii ni cha mtoto tu na hatamweza mgombea wa ukawa kwani kocha wa yanga akisema nawataka simba hata kesho maana yake simba ije kuwachezea mechi? hata kama tunaishi bara kiswahili si kigumu hivyo
 
Last edited by a moderator:
Siko tayari KUISHI KWA MATUMAINI KTK HIYO SAFARI YENU, usinijumuishe TAFADHARI.



Ila shauri yako, tukifunga safina hatufungui tena...hata ulie kwa machozi ya damu, MAFURIKO yakukute utajua hukoo... hata Nuhu aliwasihii watu hivi hivi... shauri yako upambane na mafuriko...!!
 
LOWASSA anawasumbua akili CHADEMA, hakuna namna wanaweza kumkwepa.

LOWASSA ni mpango wa MUNGU.
 
Ndo nmetoka kanisani, Mimi sio muhuni kama unavojiona wala hayo uyasemayo siyajui
hivi ulikuwa na lengo gani kupotosha
Nasikitka kwa jambo hili . Soma mtanzania gazeti la leo .Mbowe amesema kuwa Anaona kama CCM wanamwamini sana Lowassa akasema UKAWA wanamsubiri ulingoni wao hawamhofii ni cha mtoto tu na hatamweza mgombea wa ukawa kwani kocha wa yanga akisema nawataka simba hata kesho maana yake simba ije kuwachezea mechi? hata kama tunaishi bara kiswahili si kigumu hivyo
 
Kumbe kuna wafuasi wa Chadema wanamtaka Lowassa nilikuwa sijajua ili.
 
Kuwa na adabu basi
sio wote humu machizi chizi
jiheshimu huwezi acha kuni quote....
Mkuu muache huyo kijana na umsamehe,
Shida ya watu humu wanadhani kila mtu ni shabiki wa chama
Kuna wengine tupo humu kusema ukweli tu
 
Mungu akiamua, nani anashindana na Mungu...!? Nani tena...!? jitokezee
 
Kumbe kuna wafuasi wa Chadema wanamtaka Lowassa nilikuwa sijajua ili.

UKAWA wakatae dhahabu...!!? Hujaona bungeni wabunge wa UKAWA NDIO WA KWANZA kuwahi zile posho mamilioni 230 kwa kila mbunge..hakuna naliyepinga...wako kimyaaaaaa...

Sasa wamkatae Lowassa...!?
 
Kweli kabisa. Ila sio utamaduni wao, akipitishwa mmoja, wanamsapoti.

Mkuu siyo kwa ccm yenye makundi ya kutisha kama haya,na yule aliyekuwa ni msimamizi mkuu jk nyerere hayupo bado jk kikwete
 
Acha ushambenga wewe Lowassa hatoki ccm na atakuwa Raisi kupitia ccm..

Tupe sababu zinazo kufanya kuamini hivyo mkuu,kati ya watia nia 50 achaguliwe yeye kwa sifa zipi?
 
Nashinda kwenye majumba ya ibada nikiomba mungu ccm wakate jina la mzee EL ili magogoni ukawa waende kama kumsukuma mlevi

Huo ndio ukweli mkuu ccm wakikata jina la lowasa ukawa hata wasipofanya kampeni
 
leo waziri mkuu wa zaman mh,edward lowasa amevunja ukimya na kushangaza wana ccm kwa kusema yeye ni mmoja ya watu wanaotaka mabadiliko asipo yapata ndan ya ccm atayatafuta nje ya ccm.

Atasema mengi sana
 
Huyu mzee amewehuka nakwambia. Yupo mithili ya nyati alojeruhiwa mwituni.

Unaambiwa siku hizi ni MKALI mno, anaweza kumrarua mtu.

Ni kama Binadamu anayeelekea kukata roho.

Mtatoana macho wakati wote ni ccm mafisadi
 
Tena kasema kuwa yeye ni mmoja wa wanaohitaji mabadiliko ndani ya CCM. Na asipoyapata atatafuta nje ya CCM. sasa sijui anatafuta mabadiliko au madaraka? Binafsi Lowasa simuelewi hata kidogo. Huwa anajichanganya sana

Lizaboni uzuri wako ulishajipambanua kuwa humtaki lowasa,
 
Back
Top Bottom