Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
CHADEMA wakimchukua Lowassa watajivua nguo hadi aibu
Mkuu nani kakwambia kuwa lowasa anaenda cdm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA wakimchukua Lowassa watajivua nguo hadi aibu
Leta ushahidi....!!!
Nakutakia siku njema zijazo, uwe nasi ktk Safari ya matumaini...na Mungu akulinde akuangazie kweli ktk roho...
Lowasa ni Mgonjwa na kama atapitishwa CCM ataua CCMNi vema akafungasha virago sasa. Asisubiri hatu ya mwisho. Aende zake huko ACT
CHADEMA wakimchukua Lowassa watajivua nguo hadi aibu
Ukawa hakuna nafasi ya kupokea mafisadi wa ccm labda aende ACT
BAVICHA pia wamemkubali sanaaa...Mungu ni wa ajabu sana...jiwe la pembeni walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu...
bora mzazi wako angekubana kwenye mapaja wakati anakuzaa ufe usije duniani maana wewe ni hasara kwa taifa. sasa ndio umeandika nini?Hayawi hayawi mwisho yamekuwa. Ule usemi unaosema chanini mwenzio anasema atakipata lini ndo umetimia. Na leo ndo nmeamini Chanda chema huvikwa pete.
Hakika wale wageni wa siasa inabidi waamin usemi wa kwenye Siasa, hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu.
Nawatakia kila la kheri.
figganigga nakuheshimu sana,kumbe na wewe machepele,hiyo Ukawa unayoisema ni ya kichwani mwako?usilete mahaba yako kupitia UKAWA
Ujaeleweka
Acha kukurupuka.
pamoja na kuleta habari inayoniumiza,sio kawaida yako kuleta habari isiyo na kichwa wala miguu.wala chanzo wala ushahidi mdogo!kuna mtu amekuelewa humu?Mkuu, kosa langu lipi? Kuleta habari inayo kuumiza
Ni baada ya kuona upepo unaenda wapi....wamekiri Lowassa ndio kama YESU sasa...!!! kila goti litapigwa...!!!
Lowasa atakuwa chizi mwaka huu.
kipindi hiki ni wengi wamepanda bei na price tag shingoni,siamini kama wewe ni mmoja wao na umekuja na gia # 1Mkuu mimi sikurupuki. Muhimu ni ujiandae kisaikolojia kusikia hata yale usiyo yapenda.