Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

CCM watampitisha Lowasa........

Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...

JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..

Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..

Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.

Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa

Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo
 
Eeeh, Mungu ukisema ww nani mwingine atapinga..!!? Hakika hakuna..!!

Tunakupa sifa na utukufu kwako kumleta mwanao wa pekee, na hata ukatupenda watanzania na CCM yetu, ukatuletea Lowassa kwa wakati sahihi...!!!

Mungu na mapenzi yako yatimizwe Duniani na hata Mbinguni...!!! 🌈🌈🐒🐒🐒🐒

Kwa hiyo?
 
Umekula maharagwe ya wapi wewe!?



Aliyetoa kauli hiyo NDIO ANAONGOZA SAFARI YA MATUMIAINI....!!! umebaki mwenyewe...!!! akaongezea kama unaona wivu juu ya Lowassa kale malimaoooooo.... ww kale malimaoooooooooo!!!!"!
 
CCM ni lazima wampitishe Lowasa

Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...

JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..

Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..

Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.

Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa

Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo
 
Ukawa hakuna nafasi ya kupokea mafisadi wa ccm labda aende ACT
 
BAVICHA pia wamemkubali sanaaa...Mungu ni wa ajabu sana...jiwe la pembeni walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu...
 
Tayari Lowassa alishaleta mabadiliko makubwa sana CCM. Amekigeuza hiki chama toka Chama cha Wakulima na Wafanyakazi na kukifanya kuwa Chama cha Matajiri na Mafisadi. Huo ndio ukweli, na anachokifanya sasa kuiteka Ikulu ili hao Mafisadi waendelee kula nchi.
 
CCM watampitisha Lowasa........

Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...

JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..

Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..

Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.

Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa

Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo

Unaona mbali Mkuu! Kama ndivyo hivyo ni ishara ya amani kutoweka sasa. Watangazieni wananchi wote!
 
Una kipaji cha kuimba taarabu mtafute mzee Yusufu utatoka.


Unapenda taarab eeehh...!!! mchezo mchafu ndio kazi yako...!!!

Hapa hatufanyi ukafiri, tunamwongelea mwana pekee wa Mungu, Mh. Lowassa, mpango wa Mungu, taarab kale nayo malimaoooooooo....!!!!
 
figganigga nakuheshimu sana,kumbe na wewe machepele,hiyo Ukawa unayoisema ni ya kichwani mwako?usilete mahaba yako kupitia UKAWA
 
Last edited by a moderator:
CCM ni lazima wampitishe Lowasa

Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...

JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..

Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..

Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.

Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa

Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo

Maana yake mmejipanga na guerilla warfare endapo Lwasa hatokuwa rais??
unaona mlivyo wapumbavu??
 
Kwa hiyo?



Umebakia ww na roho yako....!!! UKAWA uliyotegemea umebakia UKIWA... CCM we move the mountains...thru Lowassa...!!! CCM ndio chama...vingine vinajikongoja...!!! CCM ndio baba...wengine vitoto...!!!
 
Back
Top Bottom