CCM watampitisha Lowasa........
Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...
JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..
Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..
Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.
Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa
Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo
Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...
JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..
Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..
Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.
Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa
Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo