Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unatumia nguvu sana, kunani??
Masaa kadhaa tu ushapost nyuzi zaidi ya 3 za huyo bwana..
Yupo kwenye Pay Roll ya fisadiMkuu unatumia nguvu sana, kunani??
Masaa kadhaa tu ushapost nyuzi zaidi ya 3 za huyo bwana..
Eeeh, Mungu ukisema ww nani mwingine atapinga..!!? Hakika hakuna..!!
Tunakupa sifa na utukufu kwako kumleta mwanao wa pekee, na hata ukatupenda watanzania na CCM yetu, ukatuletea Lowassa kwa wakati sahihi...!!!
Mungu na mapenzi yako yatimizwe Duniani na hata Mbinguni...!!! 🌈🌈🐒🐒🐒🐒
Mungu, mtu wako huyu anaangamia kwa kukosa maarifa.... mchukue leo hii hii hajui alitendalo hapa duniani...!!! Anashindana na ww Mungu uliyemuumba, muonyeshe ww ni Mungu...sasa hivi...!!!
Mungu our heavenly father, huyu mwingine... mpe haki yake, ajue hakika ww ni Mungu, hawa watu bila ACTION wataendelea kukudharau Mungu... mpe haki yake haraka sana...!!!🍁
Roho wa Mungu kaonyesha Lowassa ndie Kiongozi wetu thru CCM...pia UKAWA washamkubali na kusema waziiii leooo.... So Ukimuonea Mungu aibu, nae atakuonea aibu ktk ufalme wake...Asante Mungu, waonyeshe kweli hawa watu...!!! Wajue Lowassa ndio chaguo sahihi toka kwako...!!! wengi matomaso bado...!!!
CHADEMA wakimchukua Lowassa watajivua nguo hadi aibu
kijana wetu ndani ya chama cha mapinduzi bwana Paul Makonda akiwa na ujasiri wa kukemea vitendo mambo haya yanayofanywa na baadhio ya viongozi bila uwoga wowote naomba tuchukue fursa hii kumpongeza sana kijana huyu.
Nadiriki kusema nampongeza kijana huyu hasa kwa kauli zake nzito na za kijasiri kwa maslahi ya chama changu cha CCM ili chama kiendelee kupendwa na kuchaguliwa na watanzania.
Pia itakuwa si busara kama sitawapongeza vijana wangu katibu mkuu wa chama ndugu ABDULRAHMAN KINANA na NAPE NNAUYE kwa juhudi zao za dhati za kujenga chama na kuendelea kuwaeleza wananchi juu ya misingi bora ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa kuwakemea viongozi wasiofaa bila kujali cheo na umaarufu wao ndani ya chama na serikali, nawaomba waendelee -na juhudi zao hizo nami naziunga mkono juhudi zao na kama kuna watru wanaowabeza naomba wasijali kwani kukemea viongozi wasiofaa ndani ya chama na serikali ni msingi wa chama chochote kilichounda serikali.
Aidha nawaomba watanzania wenzangu wazalendo wasikubali kukatishwa tama na kikundi cha watu wachache wasio na mapenzi mema na taifa letu ambalo limekuwa mfano wa kuigwa kwa amani, upendo, utulivu na mshikamano urithi tulioachiwa na baba yetu wa taifa mwalimu julias kambarage nyerere ndani na nje ya mipaka ya bara letu la afrika.
Ndugu zangu waandishi wa habari naomba niwaambie kuwa msemaji wa UVCCM kijana wetu Paul Makonda namuunga mkono kwa -kitendo chake cha ujasiri cha kumkemea ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA bila uwoga kwa jinsi anavyokivuruga chama chetu kwa lengo la kutaka urais 2015 huku secretariet ya chama ikiwa imekaa kimya wakati inajua kuwa muda wa kuanza mbio hizi bado na kufanya hivi kwa sasa ni kukiuka misingi na katiba -ya chama. Hapa najiuliza kuwa ile misingi imara ya uongozi ndani ya chama chetu cha mapinduzi iko wapi? Mpaka tumuachie mototo ndio akemee haya? Je, hapa chama kiko wapi?
Ukweli ni kwamba wanachama wetu na vijana wamekuwa njia panda huku wakitamani kusikia tamko au karipio la chama juu ya suala hili la harakati za urais 2015 bila mafanikio.
Naomba niseme kuwa bila kuwa na karipio au tamko la chama, hawa wanaotumia pesa zao hadharani kwa lengo la kutafuta umaarufu na ushawishi kwa vijana ili kupata madaraka wanaharibu misingi yetu bora ya uongozi iliyowekwa na waasisi wetu ndani ya chama.
Roho wa Mungu kaonyesha Lowassa ndie Kiongozi wetu thru CCM...pia UKAWA washamkubali na kusema waziiii leooo.... So Ukimuonea Mungu aibu, nae atakuonea aibu ktk ufalme wake...Asante Mungu, waonyeshe kweli hawa watu...!!! Wajue Lowassa ndio chaguo sahihi toka kwako...!!! wengi matomaso bado...!!!
Yupo kwenye Pay Roll ya fisadi
Mungu our heavenly father, huyu mwingine... mpe haki yake, ajue hakika ww ni Mungu, hawa watu bila ACTION wataendelea kukudharau Mungu... mpe haki yake haraka sana...!!!🍁
Eeeh, Mungu ukisema ww nani mwingine atapinga..!!? Hakika hakuna..!!
Tunakupa sifa na utukufu kwako kumleta mwanao wa pekee, na hata ukatupenda watanzania na CCM yetu, ukatuletea Lowassa kwa wakati sahihi...!!!
Mungu na mapenzi yako yatimizwe Duniani na hata Mbinguni...!!! 🌈🌈🐒🐒🐒🐒
Si Mungu wako Wa ACT ndio Kamkaribisha Lowasa kwenye kigenge Chenu
Kwani wapi nimesema namkubali au simkubali?? Nimekuuliza tu hizi nguvu zote za nini??