Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Kwahiyo na yale mafisadi yoote nyuma ya Lowassa yanahamia CDM? toooba! acha nimeze panadol kichwa kitulie kwanza ntarudi kesho.
 
It's unthinkable how he can now join the opposition after CCM gave him the finger.

The guy that they [the opposition] have spent years bashing for being one of the most corrupt senior government officials.

Hard to imagine but that's politics for you.

It indeed can make strange bedfellows.

But I'll believe it when I see it.
 
mimi ni mwana ukawa hai, na sina ndoto ya kuwapigia kura ccm hata wakisimamisha malaika, kwa mstakabali mwema wa nchi hii na ili tupate mageuzi ya kweli ni shariti ccm ipasuke kwanza, kwa muktadha huo, sioni tatizo tukimpokea lowasa mwaka huu na tumfanye kuwa mgombea urais ili tuizike ccm mazima, nakumbuka hata yeye alisema mageuzi sio lazima yaletwe na ccm ila tunaweza kuyapata nje ya ccm, karibu ukawa nitakuwa ni mmoja wa watakaokupokea siku hyo, ni mawazo yangu tu wadau... nawasilisha
 
Nimefuatilia matangazo ya jion ya shirika la utangazaji la amerika(VoA) inaonekana kuna ajenda ya siri inaendelea kati ya Chadema na lowasa kama habari hiz zitakuwa ni kweli au kuna mpango huo lowasa inabidi asiwe mgombea urais ili kuepusha Chadema na double standard hasa tukilejea tuhuma za lowasa
 
Wewe dada mbona matusi?jamaa kakuomba ujio wa nyuma?.

Swissme

Lowasa akijiunga Ukawa landscape ya uchaguzi itachange ghafla. Hivi km uwezekno wa kuingoa CCM tukiwa na Lowasa kuna ubaya. CCM wanahofu sana na hii kitu. Upinzani watakuwa wajinga sana kumkataa Lowasa.
 
Hivi wewe unadhani lowasa anaweza kuhama ccm? Ebu acheni uzushi, ndiyo maana siku hizi mitandao ya kijamii haiaminiki kwasababu ya kuvamiwa na wachangiaji uchwara, wazandiki na waongo na stori za kutunga.
 
Hawa Chadema si ndio walikuwa wanasema Lowassa fisadi? Kweli Tanzania hamna upinzani wote waganga njaa tu.
 
Yaani Dr. Slaa angekubali tu, hivi kwanini haelewi kuwa akichukua nchi, Dr. Slaa anaweza kuwa Waziri wa Fedha, Mbowe Waziri Mkuu kisha Lowassa Rais...

Nchii ya Tanzania ingebadilika mwaka mmoja tu, kuwa kama Ulaya...

Dr. Slaa ana nn lakini..!?

Ogopa sana vizee vifupi,havishauriki.
 
Hivi wewe unadhani lowasa anaweza kuhama ccm? Ebu acheni uzushi, ndiyo maana siku hizi mitandao ya kijamii haiaminiki kwasababu ya kuvamiwa na wachangiaji uchwara, wazandiki na waongo na stori za kutunga.

majitu ya ccm kuendelea kukomaa na ccm ndio maana tunachelewa kuendelea, watu kama kangi, ester bulaya, filipokunjombe, n wazur ambao wapo katikat ya majizi mambwa mwitu wasio na huruma na nchi hata kdogo, badala ya kwenda ukawa yamekomalia humo
 

Tangu lini uko CHADEMA?
 
wakimpokea Mamvi itabidi watu wawe karibu na Padre Slaa asije kujinyonga bure kwa mawazo
 

Kweli sio bure umejiita mapengo maana Uzi wako una mapengo kweli kweli na una nia mbaya. Chadema wanapiga vita ufisadi halafu wamkaribishe fisadi? Be serious! Isitoshe mtu mmoja hawezi kuteua mgombea hata angekuwa mwenyekiti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…