Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Dr. Slaa angekubali tu, hivi kwanini haelewi kuwa akichukua nchi, Dr. Slaa anaweza kuwa Waziri wa Fedha, Mbowe Waziri Mkuu kisha Lowassa Rais...
Nchii ya Tanzania ingebadilika mwaka mmoja tu, kuwa kama Ulaya...
Dr. Slaa ana nn lakini..!?
Unachekesha sana mkuu,lowassa hawezi kupokelewa chadema,hivyo ndivyo ninavyoamini mimi,ingawa ktk siasa lolote laweza kutokea cuz hakuna permanent friend or permanent enemy.
It's unthinkable how he can now join the opposition after CCM gave him the finger.
The guy that they [the opposition] have spent years bashing for being one of the most corrupt senior government officials.
Hard to imagine but that's politics for you.
It indeed can make strange bedfellows.
But I'll believe it when I see it.
They can start by doing a PR of Lowassa repenting his corrupt activities while with CCM.and how he is a newborn corrupt free politician with a mission to undo CCM.
Ikiwa hivyo nitafurahi sana.
Haya, kila la heri.
Teh teh...bado nina imani na mzee wangu.Naombea tu kwa Mungu iwe hivyo inshaallah!
But why in the hell would he do that? Repenting is akin to admission of guilt. Is he that stupid? Why didn't he do that while he was in CCM [assuming he bolts out]?
And being that he has always been under a humongous cloud of corruption, he has no moral authority to attack CCM on the very same issue assuming they too have a lot of dirt on him.