Nimekuwa kila mara nikieleza kuwa CHADEMA kimeanzishwa na matajiri wa Kichagga kwa malengo ambayo si ya kuwakomboa wananchi, bali kwa malengo ya kumiliki hazina ya Tanzania kwa faida zao. Kumekuwa na fununu kuwa Lowassa anataka kuhamia huko, ati kutokana na mtaji wa watu alionao. Na ndio maana wameshindwa kumtaja mgombea wa UKAWA, ati majadiliano bado yanaendelea.
Ni hawahawa CHADEMA waliokuwa wanamtukana na kumkashifu na pia kuwatumia watu kumtukana, kumchafua na kumzulia mengi. Hiki chama, voice kubwa iko kwa kabila fulani na wana vibaraka wao kutoka mikoa mingine ili kuonekana sivyo walivyo.
Hawa jamaa si wakombozi ila nao ni walafi, wanaitaka hazina ya nchi kwa udi na uvumba. Wako tayari hata kumchukua shetani ili wafikie malengo yao. Hivi toka lini hili kabila likawa rafiki na mtu kwenye pesa? Wako tayari kuuwa au kufanya lolote..
Niliwahi kutahadharisha kuwa Lipumba amekuwa pinned kati ya Wachagga wawili, achukue tahadhari kubwa, twendeni tu huko mbele mtaona.
Mungu ibariki nchi yangu na inusuru na hawa jamaa.