Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari

Awadanganye watoto tu kwani yeye si alikuwa waziri mkuu alifanya nn kwani zaidi ya kuiba??????
 
Lowassa ameshaona dalili ya jina lake kukatwa hivyo anawaandaa kisaikolojia wafuasi kuwa anapanga kuhama CCM.

Tatizo ametumia hela nyingi mno hivyo hawezi kukubali zipotee hivi hivi bila adhima yake kutimia.

Lazima ana mashushushu wake wanaosoma mwelekeo wa upepo ndani ya chama, na kama hali inakwenda vibaya lazima maandalizi ya kumwaga mboga yaanze mapema. Hakuna mtu anaweza kupoteza pesa nyingi kiasi hicho abaki akifurahia jina lake likikatwa hata kama ni billionaire.
 
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari

Wamkate mara ngapi?
 
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari

Alisema atahamia ACT
 
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Lowasa haendi ukawa bali anaenda chadema ukanda na ukabila kuzingatiwa.
 
Mwaka huu tutashuhudia mengi,wakat ccm wanaparangana kule ukawa wanashikamana!..had nguvu ya kuhujumu ukawa itaisha alafu octoba 25 tunatanga ushindi saa nne asubuhi
 
Lazima ana mashushushu wake wanaosoma mwelekeo wa upepo ndani ya chama, na kama hali inakwenda vibaya lazima maandalizi ya kumwaga mboga yaanze mapema. Hakuna mtu anaweza kupoteza pesa nyingi kiasi hicho abaki akifurahia jina lake likikatwa hata kama ni billionaire.
Kibaka ni kibaka tu!
 
Hiyo ni kauli ya baba wa Taifa, yeye amem-quote tu.

Unafikiri ana maana gani katika ku quote huko? Mwalimu Nyerere aliongea kauli nyingi sana, kwanini Lowasa kaichagua hii na tunaambiwa alii quote hata siku alipotangaza nia.
 
Lazima ana mashushushu wake wanaosoma mwelekeo wa upepo ndani ya chama, na kama hali inakwenda vibaya lazima maandalizi ya kumwaga mboga yaanze mapema. Hakuna mtu anaweza kupoteza pesa nyingi kiasi hicho abaki akifurahia jina lake likikatwa hata kama ni billionaire.
Kwani kukatwa kwa Lowasa kunahitaji kuwa na shushushu? Mbona yeye mwenyewe anajua kuwa ni mchafu lazima akatwe.
 
Lowasa haendi ukawa bali anaenda chadema ukanda na ukabila kuzingatiwa.

Hivi kumbe zitto ni mchaga?
Aisee nashukuru kwa kunifahamisha
Na EL naye ni mchaga?
Nilikuwa sijuwi ndio nimejuwa kupitia wewe.
 
Kama ana ubavu wa kumuenzi baba Wa Taifa basi afanye kwa vitendo yale yote yaliyosemwa juu yake, ..Mwalimu alimuuliza utajiri wake aliupata wapi sasa atujibu pia
 
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari

Ukawa wanausafi gani ? Stop pointing finger na kulisha watu maneno !
 
Wakati akiwa Arusha, kutangaza nia, alimkariri Nyerere akisema, watanzania wanataka mabadiliko, na wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje ya CCM. Leo tena kairudia. Ni dhahiri, Lowassa akitemwa CCM, atakimbilia upinzani.

Huo ndio utakuwa mwisho wa ccm hapa tanzania
 
Back
Top Bottom