Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Mkuu hata mimi nimeisikia hiyo kauli nikawa na swali kama hilo kichwani mwangu. Ameenda mbali zaidi na kusema kwamba yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ndani ya CCM. Mwaka huu kazi ipo

Mkuu ujue bila lowasa hakuna ccm
 
Nimekuwa nikiyasema haya kabla ya kauli ya lowasa ya leo.Nilisema kuwa,Lowasa hana washauri makini na wenye waledi..wapambe wake wakakataa!.Nilisema kuwa lowasa alipokuwa singida alisema kuwa "asipopata urais akiwa ccm,taupata urais nje ya ccm"..wapambe wakasema mimi ni team makongoro/membe/sitta.Nikasema uwezo wa lowasa ni mdogo kiuongozi na upeo wake wa kuchagua maneno ni mdogo sana hata uenyekiti wa mtaa hawezi,wapambe wakasema ninachuki binafsi.Nikasema kuwa kauli za zitto na lowasa zinalandana..wakati zitto yupo chadema,wapambe wake wakaniita mimi ni ukawa.Sasa nasema tena:LOWASA AKIWA RAIS siku moja atasema hivi"KAMA GESI NA URANIUM HATACHIMBA ROSTAM,BASI ATACHIMBA KARAMAGI"...HAFAI KUWA RAIS WA TANO WA TANZANIA,BORA MTIKILA KULIKO YEYE!!!!...?????
 
Lowasa ndo alisema asiyemtaka ndani ya ccm aondoke yeye ?mnafiki mkubwa leo ndo anajifanya kutumia mwl.Nyerere mbona hakusema haya:
mtu yeyote anayetumia gharama kubwa kusaka madaraka hafai kuwa kiongozi ni wakuogopwa kama ukoma .Mwl Nyerere
 
Tena kasema kuwa yeye ni mmoja wa wanaohitaji mabadiliko ndani ya CCM. Na asipoyapata atatafuta nje ya CCM. sasa sijui anatafuta mabadiliko au madaraka? Binafsi Lowasa simuelewi hata kidogo. Huwa anajichanganya sana

Angalia vizuri huenda hujakamilisha tiba yako pale milembe, unadhani utamwelewa vipi wakati we mwenyewe ndo umechanganyikiwa?
 
Mkuu hata mimi nimeisikia hiyo kauli nikawa na swali kama hilo kichwani mwangu..........Mwaka huu kazi ipo

Mkuu sorry kidogo kwani we ndo yule msanii wa kufokafoka wa miziki ya vijana wa kizazi kipya mkuu ama ni jina tu?
 
Ukawa hakuna nafasi ya kumpokea huyu fisadi aende kuungana na chama.cha wasaliti wenzake ACT Zitto alishamkaribisha siku nyingi sana

Akienda act atapata cheo gani kule maana zzk kesha vimaliza kwa kiongozi mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikiyasema haya kabla ya kauli ya lowasa ya leo.Nilisema kuwa,Lowasa hana washauri makini na wenye waledi..wapambe wake wakakataa!.Nilisema kuwa lowasa alipokuwa singida alisema kuwa "asipopata urais akiwa ccm,taupata urais nje ya ccm"..wapambe wakasema mimi ni team makongoro/membe/sitta.Nikasema uwezo wa lowasa ni mdogo kiuongozi na upeo wake wa kuchagua maneno ni mdogo sana hata uenyekiti wa mtaa hawezi,wapambe wakasema ninachuki binafsi.Nikasema kuwa kauli za zitto na lowasa zinalandana..wakati zitto yupo chadema,wapambe wake wakaniita mimi ni ukawa.Sasa nasema tena:LOWASA AKIWA RAIS siku moja atasema hivi"KAMA GESI NA URANIUM HATACHIMBA ROSTAM,BASI ATACHIMBA KARAMAGI"...HAFAI KUWA RAIS WA TANO WA TANZANIA,BORA MTIKILA KULIKO YEYE!!!!...?????

Masihala tuyaweke pembeni,lowasa akikatwa jina lake huo mtoto wake ccm haitabaki salama.
 
Ukawa hakuna nafasi ya kumpokea huyu fisadi aende kuungana na chama.cha wasaliti wenzake ACT Zitto alishamkaribisha siku nyingi sana

Ukawa ni kwa wateule tu
 
Last edited by a moderator:
Huo ndio utakuwa mwisho wa ccm hapa tanzania

Kwa jinsi CCM wanavyomuogopa Lowassa, usishangae wakisogeza vikao vyao karibu na siku ya mwisho ya kupeleka jila NEC ili hata wakimtema asipate nafasi chama kingine.
 
Wakati akiwa Arusha, kutangaza nia, alimkariri Nyerere akisema, watanzania wanataka mabadiliko, na wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje ya CCM. Leo tena kairudia. Ni dhahiri, Lowassa akitemwa CCM, atakimbilia upinzani.

Kwani ACT ni Chama Cha Wapinzani!? ACT ni tawi jipya la CCM tena ni CCM B+++
 
Lowasa ndo alisema asiyemtaka ndani ya ccm aondoke yeye ?mnafiki mkubwa leo ndo anajifanya kutumia mwl.Nyerere mbona hakusema haya:
mtu yeyote anayetumia gharama kubwa kusaka madaraka hafai kuwa kiongozi ni wakuogopwa kama ukoma .Mwl Nyerere

Weee weee thubutu! Ajipige pini mwenyewe!
 
Wandugu,
Kila mmoja ameshuhudia jinsi Mh Lowassa alivyotikisa nchi. Watu wenye mawazo madogo wanasema jamaa anatumia pesa. Jiulize huyo jamaa ana trillion ngapi? Ukweli nyota yake imeng!aa na anakubalika na zaidi ya 60% ya wana CCM. Kama CCM wana ubavu basi wakate jina lake. Ataondoka na halmashauri kuu pale mkose hata coram ya kuendelea na kikao na CCM itakuwa kmezikwa rasmi siku ile. CCM haina njia ya mkato, mpitisheni mtu anayeungwa mkono na wanachama wengi or else?
 
Nyota ya rushwa, ufisadi na ufisadi papa inang'ara kweli. Waziri mkuu atakuwa Rostam, fedha atakuwa Karamagi
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Back
Top Bottom