Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Hakika, Lowassa ni Messi wa siasa Tz...

Anapiga chenga na magoli, hata wengine hawajui anafanya nn...!!! Siasa inabidi upende watu na watu wakupende in return..!!!

Imagine, mtu yuko alone, anarushiwa kila aina ya propaganda, ila Mungu kamshikilia kama Obama 2008, na akashinda kwa KISHINDO KIKUU...!!! ndio nachoona kwa Lowassa, Mungu akikuinua, hata waje nani, ni bure...!!!

Hakika, Lowassa is the President in waiting...!!! 2015..!!
 
Nyota ya wizi na usanii anaofanya wa kuhonga makundi yamuunge mkono, ona bodaboda wanavyomuumbua wakikosa mgao wao
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Wandugu,
Kila mmoja ameshuhudia jinsi Mh Lowassa alivyotikisa nchi. Watu wenye mawazo madogo wanasema jamaa anatumia pesa. Jiulize huyo jamaa ana trillion ngapi? Ukweli nyota yake imeng!aa na anakubalika na zaidi ya 60% ya wana CCM. Kama CCM wana ubavu basi wakate jina lake. Ataondoka na halmashauri kuu pale mkose hata coram ya kuendelea na kikao na CCM itakuwa kmezikwa rasmi siku ile. CCM haina njia ya mkato, mpitisheni mtu anayeungwa mkono na wanachama wengi or else?

Ni kweli mkuu,nyota ya Lowassa inan'gara sana hasa katika kugawa pesa kwa wananchi
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Wandugu,
Kila mmoja ameshuhudia jinsi Mh Lowassa alivyotikisa nchi. Watu wenye mawazo madogo wanasema jamaa anatumia pesa. Jiulize huyo jamaa ana trillion ngapi? Ukweli nyota yake imeng!aa na anakubalika na zaidi ya 60% ya wana CCM. Kama CCM wana ubavu basi wakate jina lake. Ataondoka na halmashauri kuu pale mkose hata coram ya kuendelea na kikao na CCM itakuwa kmezikwa rasmi siku ile. CCM haina njia ya mkato, mpitisheni mtu anayeungwa mkono na wanachama wengi or else?

Kama hujuhi jamaa ana trillion ngapi hujuhi Hii Nchi inavyoliwa.
Lowasa ni mgonjwa. Ugonjwa wake haufichiki, let's be serious.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hana vigezo, vigezo vinamtupa vibaya sana, sifa 13 alizotangaza Mangula 4 zinamlenga yeye moja kwa moja

Hebu ona:-


[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kigezo [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji Agustino Ramadhani [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Edward Ngoyayi Lowassa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Umri [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Miaka 70 [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] 62 [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu ya juu ngazi ya shahada [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uzoefu wa kazi [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kazi alizofanya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji, mwanajeshi, mchungaji [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu. [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Historia kazini [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kugombea urais [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ameombwa agombee tena ameombwa sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya yake ni imala sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya ni mgogoro mala nyingi huenda Ugermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu [/h] [/TD]
 
Nyota ya wizi na usanii anaofanya wa kuhonga makundi yamuunge mkono, ona bodaboda wanavyomuumbua wakikosa mgao wao

Yanaweza kusemwa mengi ila lililo dhahiri ni kuwa CCM hawana uwezo wa kuchukua political risk kubwa hivi. Lowassa ni kama kidonda cha mguu, uukate mguu upate kilema cha maisha au uutibie? Wakichukua njia ya kukata mguu uchaguzi mtaupoteza na hapo ndio mwisho wa ccm
 
Hana vigezo, vigezo vinamtupa vibaya sana, sifa 13 alizotangaza Mangula 4 zinamlenga yeye moja kwa moja

Hebu ona:-


[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kigezo [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji Agustino Ramadhani [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Edward Ngoyayi Lowassa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Umri [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Miaka 70 [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] 62 [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu ya juu ngazi ya shahada [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uzoefu wa kazi [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kazi alizofanya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji, mwanajeshi, mchungaji [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu. [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Historia kazini [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kugombea urais [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ameombwa agombee tena ameombwa sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya yake ni imala sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya ni mgogoro mala nyingi huenda Ugermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu [/h] [/TD]

Hebu weka vizuri tukusome mkubwa
 
We don't deal with facts on table, we deal with facts on the field of voters...!!!

Mangula hatuchaguliiii RAIS...stop being black minded...!!! Hata hamjui nani anachagua Rais...!?

Dakika ya 89.... 10 - 0.... hayo magoli ni ngumu kurudisha hata kwa penalti...!!!
 
Kama hujuhi jamaa ana trillion ngapi hujuhi Hii Nchi inavyoliwa.
Lowasa ni mgonjwa. Ugonjwa wake haufichiki, let's be serious.

Tupe nakala ya vyeti vya dr vinavyo tuhakikishia km lowasa ni mgonjwa na sio kuropoka ropoka tu
 
Mpaka leo bado anatafuta wadhamini tu? Wanaoutumia magari wameishaanza kurudisha form,yeye wa jet bado,anafanya kampeni huyo richmonduli
 
Tena kama DHAHABU.... haishiki kutu...hata ukiichoma INAZIDI KUNG'ARA...!!!

Asante eehh Mungu baba wa Mbinguni kutuletea Lowassa...we praise you Lord..!!!
 
Yanaweza kusemwa mengi ila lililo dhahiri ni kuwa CCM hawana uwezo wa kuchukua political risk kubwa hivi. Lowassa ni kama kidonda cha mguu, uukate mguu upate kilema cha maisha au uutibie? Wakichukua njia ya kukata mguu uchaguzi mtaupoteza na hapo ndio mwisho wa ccm

wewee!!! watisheni watoto, na si watu wenye akili zao, huyu lazima akatwe tu hizo biashara za kutishana eti akikatwa ccm, itameguka!!! najua timu lowasa mmechanganikiwa sana na ujio wa the judge AUGUSTINO!!!!
 
Tupe nakala ya vyeti vya dr vinavyo tuhakikishia km lowasa ni mgonjwa na sio kuropoka ropoka tu

Mtu mgonjwa sio lazima upate cheti, inaonesha kijana lowasa unamjulia kwrnye picha. umeshawahi kumuona live kwenye hiyo mikutano yake akamuona anavyotetemeka mikono?
 
Back
Top Bottom