Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Lowassa ameshaona dalili ya jina lake kukatwa hivyo anawaandaa kisaikolojia wafuasi kuwa anapanga kuhama CCM.
Tatizo ametumia hela nyingi mno hivyo hawezi kukubali zipotee hivi hivi bila adhima yake kutimia.
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Shule za kata?
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Lowasa haendi ukawa bali anaenda chadema ukanda na ukabila kuzingatiwa.Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Kibaka ni kibaka tu!Lazima ana mashushushu wake wanaosoma mwelekeo wa upepo ndani ya chama, na kama hali inakwenda vibaya lazima maandalizi ya kumwaga mboga yaanze mapema. Hakuna mtu anaweza kupoteza pesa nyingi kiasi hicho abaki akifurahia jina lake likikatwa hata kama ni billionaire.
Hiyo ni kauli ya baba wa Taifa, yeye amem-quote tu.
Kwani kukatwa kwa Lowasa kunahitaji kuwa na shushushu? Mbona yeye mwenyewe anajua kuwa ni mchafu lazima akatwe.Lazima ana mashushushu wake wanaosoma mwelekeo wa upepo ndani ya chama, na kama hali inakwenda vibaya lazima maandalizi ya kumwaga mboga yaanze mapema. Hakuna mtu anaweza kupoteza pesa nyingi kiasi hicho abaki akifurahia jina lake likikatwa hata kama ni billionaire.
Kwani kukatwa kwa Lowasa kunahitaji kuwa na shushushu? Mbona yeye mwenyewe anajua kuwa ni mchafu lazima akatwe.
Lowassa akiwa Mkoani njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani ccm watayatafuta nje ya ccm"
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa ccm wakimkata lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya ccm
Nje ya Ccm ni wapi?Ukawa hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,ukawa ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT wazalendo na lowassa yanaenda kutimia before octoba
Source:Itv Habari
Wakati akiwa Arusha, kutangaza nia, alimkariri Nyerere akisema, watanzania wanataka mabadiliko, na wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje ya CCM. Leo tena kairudia. Ni dhahiri, Lowassa akitemwa CCM, atakimbilia upinzani.