GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
mbona inaendelea?????
Tena Mwambie Itaendelea Milele Na Milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona inaendelea?????
kwa bandiko hili huna sababu ya kuaminika,Wewe Kumbe Ndiyo Unalijua Hili Leo? Fuatilia Kwa Umakini Sana Hata Wakati Lowassa Anatangaza Nia Ni Watu Wa Mikoa Gani Miwili Walikuwa Wanamtetea, Kumbemba, Kuhimizana Na Kumpamba? Ni Mikoa Ya A Na K Na Hao Kwa UKABILA Na KUBEBANA Hawajambo Hapa Nchini Tanzania Bora Hata Ya Watani Zangu Wahaya.
Yaani hapo umegonga kwelikweli 100%, isitoshe akihama ccm tu kesi zake zote zinafufuliwa. Akumbuke yule mwenyekiti wa ccm aliyehamia cuf na kushindwa ubunge, baada ya hapo akaambiwa biashara zako hujalipa kodi hivyo unadaiwa mamilioni, wiki iliyofuata akaambiwa nyumba yako iliyo mwanza iko barabarani - isogeze etc, Mbona alirudi ccm kwa kupiga magoti!Hasira za wananchi kwa richmond, tegeta escrow lazima wataziamishia huko chaedema na ukawa, watakuwa wajinga sana kumpokea lowasa na hakika upinzani utakuwa umejimaliza wenyewe kama zito kabwe
Page ya 5 sijaona Afisa Habari yeyote au mtu wa karibu kukanusha habari,hizi!!silence means YES,sitaki kusimuliwa nasubiri mwenyewe kwa macho yangu maajabu haya.Ila tu nataka kusema kama kweli ipo hivyo,sasa Chadema malengo yetu kuingia ikulu ni nini?
Tena bora asitoke huko chama chake watamumaliza. Kuna mmoja Ali wa betray haikuisha account zote zikafungiwa. Anything can happen may be alijipanga. Ila time will tell.Mkuu ilikuwa rahisi kwa Dr. Slaa kwa vile hakuwa na link kiasi hicho na CCM. Lowasa ma-deal yake aliyopiga na akina Rostam na Karamagi kwa mgongo wa CCM ambayo hadi leo anavuna mabilioni ya pesa kila mwezi atathubutu kufanya hivyo? Akidiriki hawakawii ku-freeze na akaunti zake za benki, period.
kitendo cha kingunge pia kuongea leo ni kiashirio kingine,ndo maana pia kasema kuwa yeye ni mwanachama wa ccm no 8,na kama ataamua kutoka ccm atawambia kama ataamua.
ni wazi kuwa wazo la kutoka lipo ndo maana kina mbatia wameongeza siku tano za kumsubili lowasa.
na ndo maana pia lowasa hataki kuongea yuko kimya.
jifanye umeshindwa japo umeshinda ili jukwaani tutambue busara ba hekima zako kwani kujibizana kusiko nq tija kunatufanya nawe tukuweke kundi moja na wao!tena mwambie itaendelea milele na milele.
Kwanini watu wanalazimisha sana Lowassa aingie Chadema badala ya chama kingine chochote?
As for now, maamuzi magumu lazima yafanyike ... Hakuna ubishi kabisa kuwa cdm ndio wanaokubalika sana upande wa bara ... nadhani model rahisi ni ile waliyotumia upande wa zenj, bila kupunguza neno waifuate ile ile ila kwa sasa upande wa bara .......
tena dr Slaa pia alijiunga akiwa amekatwa siku hiyo hiyo akahama. wacha ahamie tu kwa kweliKwani ni ajabu Lowasa kujiunga CHADEMA??
Alijiunga Dr Slaa toka CCM,wakampokea,
Mtei mwenyewe alikuwa CCM,sasa nani
alikuwa KANU hapo??
Acheni utoto,