Elections 2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

Elections 2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

UKAWA, HEBU NJOONI MUMTETEA LOWASSA ANAYE SEMA UONGO KUHUSU ELIMU
https://www.facebook.com/max.dullah/videos/696062997162223/
 
Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyonda ukawa amesema, kila mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.

Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.

Akaongeza ukileta viwanda watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madei waka hiyo kitu hataki.

Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.

Hiyo kauli iko sawa kweli?

View attachment 297290
Huyu naona hayuko sawa kbsa.aje udsm cafeteria saa Saba mchana tunavosukumana Afu anasema bdoo Hatujasoma bdo.wkti tunaacha kaka zetu nyumbani tena graduates wa computer science wanakodisha movie za kibongo kwenye vibanda na ucku wanaenda kua ma-dj kwnye vigodoro.vyeti vyao ni second class tena wengne upper wanakosa ajira Afu bdo anasema hatujasoma..yni anazidi kunitia Hasira..kweli Tajiri hawezi kuongoza mSikini Anachukulia vitu easy easy sana
 
Mimi nimefanya kazi shirika flan la UN Aisee wanaokula mpunga mnene ni wakenya na waganda na watu wengine kutoka mataifa mbali mbali ya Africa, Asia, ulaya na marekani. Sisi wa TZ tulikuwa kama vibarua halafu ndo graduates. Jamani!! Tuboreshe Elimu. Tunadharaulika sana. Mimi naunga mkono juhudi za Lowassa kuhusu ELIMU, ELIMU, ELIMU.
 
Mimi nimefanya kazi shirika flan la UN Aisee wanaokula mpunga mnene ni wakenya na waganda na watu wengine kutoka mataifa mbali mbali ya Africa, Asia, ulaya na marekani. Sisi wa TZ tulikuwa kama vibarua halafu ndo graduates. Jamani!! Tuboreshe Elimu. Tunadharaulika sana. Mimi naunga mkono juhudi za Lowassa kuhusu ELIMU, ELIMU, ELIMU.
Tatizo lako unajidharau wewe mwenyewe kwanza. Acha hao wakenya na waganda wakuendeshe puta ilhali una kisomo zaidi kupita wao. Lowassa hawezi kukusaidia kwa hilo. Sana sana atakachofanya ni kuendelea kupiga dili pindi aingiapo ikulu. Kalagabaho.
 
Mimi nimefanya kazi shirika flan la UN Aisee wanaokula mpunga mnene ni wakenya na waganda na watu wengine kutoka mataifa mbali mbali ya Africa, Asia, ulaya na marekani. Sisi wa TZ tulikuwa kama vibarua halafu ndo graduates. Jamani!! Tuboreshe Elimu. Tunadharaulika sana. Mimi naunga mkono juhudi za Lowassa kuhusu ELIMU, ELIMU, ELIMU.

Kutokana na ushabiki wa kijinga wapo watu wanao kebehi sera hii ya Mh. Lowassa. Pasipo Elimu bora mtanzania ataendelea kuishia kuwa omba omba mpaka siku ya mwisho. Kuna mambo mengine kwa kweli inatubidi tuweke ushabiki pembeni. Hivi ni kwanini mitambo yetu ya umeme ikiharibika hapa ni mpaka tusubiri bwana fundi kutoka USA, Wenzetu wakiugua ni lazima waende Marekani ama India kwa mabingwa. Tusifanye makosa kwa kuto kuliona hilo jambo hata kama mimi na wewe hatuhitaji kwenda shule lakini tuwape wale wengine Elimu yakutosha ili waweze kutusaidia. Simu nayotumia mimi leo imetengenezwa na mtoto wa kichina wa miaka 12. Kwanini isiwe watoto wetu.
 
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.
Mwaka huu utaongea mpaka kichina lakini usibane masaburi dawa iingie vizuri usije ukavunja sindano hamna jinsi utakayopona kama dose haitokamilika halafu mwishoni utalainishwa na mpini tarehe 25
 
Kusema lazima tusome kwanza wakati wahitimu kibao ambao ni wasomi..mana yake wamekwisha soma wanatafuta kazi na eti tuanze kusoma kama vile hakukuwa na shule ndio tujenge viwanda naona ni "Mtindio" wa akili!!! Watanzania waliokwisasoma na wanaotafuta kazi/ au wajasiriamali tayari wapo wanachohitaji ni kuwezeshwa..Lowassa na sio kupelekwa tena shule! Lkini kiwanda kikijengwa waajiriwa watafunzwa namna ya kuendesha hivyo viwanda!!!

Yaani wewe umethibitisha kuwa kwa kweli ELIMU inahitajika... Rudia kusoma ulichoandika..!!
 
Huyu naona hayuko sawa kbsa.aje udsm cafeteria saa Saba mchana tunavosukumana Afu anasema bdoo Hatujasoma bdo.wkti tunaacha kaka zetu nyumbani tena graduates wa computer science wanakodisha movie za kibongo kwenye vibanda na ucku wanaenda kua ma-dj kwnye vigodoro.vyeti vyao ni second class tena wengne upper wanakosa ajira Afu bdo anasema hatujasoma..yni anazidi kunitia Hasira..kweli Tajiri hawezi kuongoza mSikini Anachukulia vitu easy easy sana

Kama elimu yenu ni nzuri kwa nini mnakosa kazi...??
Je huna elimu nzuri kiasi kwamba hii sera inakushinda kuchanganua...??
Kurukaruka cafeteria wala kujaza kumbi za mihadhara chuoni si dalili ya usomi...
 
Mkuu umetumia akili ya woga kuandika haya...

Elimu ya bure inawezekana kabisa wala halina mjadala isipokuwa kutakuwa na changamoto zinazotatulika...

Tatizo lake anashindwa kutambua kuwa ELIMU YA BURE VIDUDU HADI CHUO kuanzia januari kwa Tz bado hatujafika huko, linaweza likafanyika hilo kama watafosi ila 'wasomi' wataotoka hapo ni MAJANGA. Hivi jamaa anashirikisja timu yake kufikiri au anasema tu kufurahisha 'nyomi' zake?
 
huyo jamaa anazungumzia elimu gan? JK kajenga vyuo vikuu vipya vinne, vyenye uwezo wa kutoa graduates 30000, means kila mwaka kuna graduate wapya 100,000~120,000 ss hao vijana unawapeleka wapi? kwa ss n uimarishaj tu wa elimu unaotakiwa ila viwanda ndo first priority ili nguvu kazi ya taifa itumike kuzalisha
 
Tatizo lake anashindwa kutambua kuwa ELIMU YA BURE VIDUDU HADI CHUO kuanzia januari kwa Tz bado hatujafika huko, linaweza likafanyika hilo kama watafosi ila 'wasomi' wataotoka hapo ni MAJANGA. Hivi jamaa anashirikisja timu yake kufikiri au anasema tu kufurahisha 'nyomi' zake?

Hizi lugha za kusema hatujafika ndo akili mgando zinazotumiwa na CCM kuwakandamiza. Kwa nchi yenye Bandari 3, madini ya kila aina kila kona, vivutio vya utalii vinavyotambulika kidunia, nishati ya gas, sehemu kubwa ya ardhi yenye rutuba na rasilimali chungu nzima kuona elimu tu haiwezekani ni kutijusi mwenyewe. Kwangu mie elimu bure inawezekana kama kiongozi ana nia thabiti.
 
Kusema lazima tusome kwanza wakati wahitimu kibao ambao ni wasomi..mana yake wamekwisha soma wanatafuta kazi na eti tuanze kusoma kama vile hakukuwa na shule ndio tujenge viwanda naona ni "Mtindio" wa akili!!! Watanzania waliokwisasoma na wanaotafuta kazi/ au wajasiriamali tayari wapo wanachohitaji ni kuwezeshwa..Lowassa na sio kupelekwa tena shule! Lkini kiwanda kikijengwa waajiriwa watafunzwa namna ya kuendesha hivyo viwanda!!!

Wewe ndio hamna Wafunzwe nini wakati unasema wamesoma, ELIMU,ELIMU,ELIMU in E.Lowasa voice.Badae viwanda.
 
Nimefatilia hii thread kwa makini sana, na bila ushabiki nimegundua wanaopinga sera ya elimu ya Mh.Lowasa wote wamechangia uzi huu kwa point za kijinga sanaaaa na waliochangia kuunga mkono hii sera ya elimu wametoa strong points. .Kweli Tanzania elimu inahitajika
 
Kwani uongo?bila elimu tutaishia kuwa wafagiaji na walinzi.Nani atakupa ubosi wakati kichwani hamnazo.Elimu,Elimu,Elimu.Huyo wa viwanda kama atatumia umeme wa power bank sawa!.
Nafasi gani ambayo kwa sasa nchini hakuna raia wa kushika huko viwandani??!!!
 
Lowasa ana vision, maamuzi, ufuatiliaji na ni mzuri kutoa maelekezo kuliko Magufuri, Magufuri si kiongozi bali ni mtendaji.

Suala la kutoa elimu bure kama anavyosema Lowasa linawezekana kabisa. Libya iliweza kutoa elimu, huduma za afya nzuri, huduma za bima na nyinginezo bure kwa miaka mingi kwa ajili ya mafuta tu waliyokuwa nayo. Kwanini Tanzania ishindwe wakati ina gesi, mafuta, dhahabu, almasi, Tanzanite na mbuga za wanyama?. Kinachokosekana katika Tanzania ni Uongozi bora pamoja na mfumo sahihi. Lowasa ni kiongozi bora wala si bora kiongozi, na Chadema wana mfumo mzuri si kama wa CCM. Lowasa ndani ya Chadema ataleta mabadiliko chanya kwa Tanzania na kwa faida ya Watanzania wote.

Lowasa ana qualities za uongozi. Watanzania tusifanye makosa 25th October 2015. Chagua Lowasa, chagua mabadiliko ya kuelekea kwenye maendeleo tuliyonyimwa na CCM kwa miaka 50 iliyopita.



TUKO MSTARI MMOJA MKUU, eneza ujumbe huu kwa waliobaki bila kujitambua na wale ambao hawajaamua wawe upande gani.
 
Tuache ushabiki.leo hii vibarua kiba viwandani ni wazawa na waajiriwa wachache wanaolipwa kiduchu kwa kua elimu zao hazina vigezo.wageni wanachukua nafasi nyeti zote.kikubwa kinachoitajika ili watu wajitambue ni elimu.vingine vitajizaa kama matunda ya elimu bora.
Hao vibatua wengine wana elimu ya kidato cha sita na pengine chuo!
 
Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyonda ukawa amesema, kila mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.

Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.

Akaongeza ukileta viwanda watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madei waka hiyo kitu hataki.

Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.

Hiyo kauli iko sawa kweli?

View attachment 297290

Hawa waliosoma na kukosa ajira, wao wahame nchi!? au waendeshe boda boda !?
 
Umesema cha maana sana. Wasomi wapo kibao na vyuo vinawatapika kila mwaka, wapo mitaani hawana kazi. Ndo hao wa kwenda kuanza huko viwandani.

Tatizo ni ubishi usio kichwa wala miguu, eti nchi haina watu wa kuendesha viwanda!!!!
 
Kutokana na ushabiki wa kijinga wapo watu wanao kebehi sera hii ya Mh. Lowassa. Pasipo Elimu bora mtanzania ataendelea kuishia kuwa omba omba mpaka siku ya mwisho. Kuna mambo mengine kwa kweli inatubidi tuweke ushabiki pembeni. Hivi ni kwanini mitambo yetu ya umeme ikiharibika hapa ni mpaka tusubiri bwana fundi kutoka USA, Wenzetu wakiugua ni lazima waende Marekani ama India kwa mabingwa. Tusifanye makosa kwa kuto kuliona hilo jambo hata kama mimi na wewe hatuhitaji kwenda shule lakini tuwape wale wengine Elimu yakutosha ili waweze kutusaidia. Simu nayotumia mimi leo imetengenezwa na mtoto wa kichina wa miaka 12. Kwanini isiwe watoto wetu.

Kula Like Mkuu, tuwakumbushe Ajali ya Mv. Bukoba wazamiaji tu ilibidi watoke A. Kusini.

Maeneo mbalimbali tu ambapo zinatumika Mashine za kisasa kufanyia shughuli yoyote kitu kikiharibika kazi zinasimama mpaka fundi wa kurekebisha atoke A. Kusini.

Lowassa yuko sahihi kabisa kwani CCM imetupatia elimu ya kufaulu mitihani tu wala si kutenda na ndio maana anasema atabadili Mitaala yote ili kuiboresha Elimu Nchini.
 
Back
Top Bottom