Yani n kama wale Yule wa mwainguniBongo ukiwa tu muongeaji bas unapata kazi. Watangazaj weng hata hawajasomea hiyo fani ila tu midomo yao ndo inawapa ulaji
Na mkorogo juu...na Domo lake panaaYule mwingine alivo na sura ngumu kaaahhh!ila kuna wanaume wachafu jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yule mwingine alivo na sura ngumu kaaahhh!ila kuna wanaume wachafu jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nasema mliwaji na mlaji wote wana shida akilini!am sorry to say this may be I can touch others feelings but this is according to meSana yn ni zaid ya uchafu
Hata ongea yake anaelekeaKujifanya expert[emoji16]
Halafu domo lake limekaa kabisa kuyabugia[emoji1787]
Wapuuzi hawa yaani kodi zetu wazichezz huku kuhonga mahawara zao,nafikiri mrs naona kaamsha popo hukooo![emoji23][emoji23]mkeka kweli umechanika JF si ya kuchezea na baada ya Siri kujulikana atapata kibuti. Hivi hawawezi kula kimya kimya hawa ma slay queen
Sasa yule anafichwafichwa kama Arv...!!!Ww unajua Raha ya penz n public
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hata arv ina afadhali
Umeona eehh!tatizo hawana siri wenzao wanaliwa kimya kimya kama hawapo vile wanahongwa maghorofa wanatulia kimyaaa...kuna demu mmoja katika wale wadada wanaodela na urembo mjini yule lovieeeemakeup ana shoga ake mulee mreembo ni lawyer analiwa na mtu mzito ktkt system za utawala wa judiciary ila kimyaaaa....demu anaishi high life lakini anakeep profile low!!!!Sasa shauri yake kajitilia kitumbua mchanga yeye anajua mwenzake ni high official anaweka ujinga, what if watu wabaya wataingilia kupitia huyo mdada amfanyie kitu mbaya huyo Mr inbox kama delila
Eeh jmn mbn hii code nmeshindwa kuijua loh.Umeona eehh!tatizo hawana siri wenzao wanaliwa kimya kimya kama hawapo vile wanahongwa maghorofa wanatulia kimyaaa...kuna demu mmoja katika wale wadada wanaodela na urembo mjini yule lovieeeemakeup ana shoga ake mulee mreembo ni lawyer analiwa na mtu mzito ktkt system za utawala wa judiciary ila kimyaaaa....demu anaishi high life lakini anakeep profile low!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani bando limeisha mwenzenu tunafanyaje sasa!!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Eeh jmn mbn hii code nmeshindwa kuijua loh.
Hizo storyJokate ana Bonge la Shule Arusha (Eneo la Maji ya Chai)
Shule sio mkate ...banda la kuishi hana itakua shuleShule gani hyo maji ya chai?
[emoji849][emoji849][emoji849]!!!rahisi Sanaa hii kama vipi njoo tu inboboCodes zote nimepata 98 ilanhapa. Nitakujia inbox Kama sitaelewa huko mbelen niponpage ya 50
ππππππ[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani bando limeisha mwenzenu tunafanyaje sasa!!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ssShule sio mkate ...banda la kuishi hana itakua shule
Basi bora zingekua zake nyie pesa zetu za tozo zileeee...au nasema uongo ndugu zanguu!!!wale kimya kimya!!!Atavuna anachopanda
Anataka kuonekama Hana
Shida kabisa anaish life good
Wake zao na dada zao ndio mafundi hatariSanaaa hawa jamaa wa shombe
Shombe Arabs wanapenda Sana
Nex yani alaf cjui kama hao wake zao
Wanajua haya mambo yanayofanya
Maana dhaaa cjui mkeo anaweza
Kuonaje yani
Weeee!!![emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Huyo mmoja wa waclean alikuwa analiwa na wachezaji wa mikia FC