Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kujifanya expert[emoji16]

Halafu domo lake limekaa kabisa kuyabugia[emoji1787]
Hata ongea yake anaelekea
Kutoshana na Yule delicious
[emoji1][emoji1][emoji1] Cjui Kama ulishawah
Mskia akiongea huko ig yani
N kituko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji23][emoji23]mkeka kweli umechanika JF si ya kuchezea na baada ya Siri kujulikana atapata kibuti. Hivi hawawezi kula kimya kimya hawa ma slay queen
Wapuuzi hawa yaani kodi zetu wazichezz huku kuhonga mahawara zao,nafikiri mrs naona kaamsha popo hukooo!
Kuleni kodi zetu kwa heshima nyie makahaba alaahhh!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa shauri yake kajitilia kitumbua mchanga yeye anajua mwenzake ni high official anaweka ujinga, what if watu wabaya wataingilia kupitia huyo mdada amfanyie kitu mbaya huyo Mr inbox kama delila
Umeona eehh!tatizo hawana siri wenzao wanaliwa kimya kimya kama hawapo vile wanahongwa maghorofa wanatulia kimyaaa...kuna demu mmoja katika wale wadada wanaodela na urembo mjini yule lovieeeemakeup ana shoga ake mulee mreembo ni lawyer analiwa na mtu mzito ktkt system za utawala wa judiciary ila kimyaaaa....demu anaishi high life lakini anakeep profile low!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona eehh!tatizo hawana siri wenzao wanaliwa kimya kimya kama hawapo vile wanahongwa maghorofa wanatulia kimyaaa...kuna demu mmoja katika wale wadada wanaodela na urembo mjini yule lovieeeemakeup ana shoga ake mulee mreembo ni lawyer analiwa na mtu mzito ktkt system za utawala wa judiciary ila kimyaaaa....demu anaishi high life lakini anakeep profile low!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh jmn mbn hii code nmeshindwa kuijua loh.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom