Steve mdananda hilo linajulikana kitambo kingi sana..naona wanamwaga kuku tule watajua wenyewe!Yaani ukiona dada mrembo nikiongozi,ogopa sana! Leo kama umesoma huko IG wameanza kuvuana nguo kuhusu vyeo vyao vya kupeana huko! Mwenezi mstaafu na msanii wa maigizo wamefumuana huko hatari
Wanaliwa sana,baadhi yao huwa wanapata vyeo na baadhi yao,hua wanabaki wanapuyanga tu mjini!Kwahyo dada warembo unakuta wamegawa mbususu balaa. Ila katibu mwenezi mstaafu kapita na wanawake wengi sana had kazaa na mubongo movie mmoja pia alipita na DED mteuliwa ili apate ubunge viti maalumu
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]nimependa katele4n!!!!yaani kwanza nilivoambiwa nilichokaaaa balaaaa!acha kabisaHao ndo hua watafunaji wazuri! Kwa kimombo wanaitwa silent killer!! Kwani katele4n kuna mtu angedhani kama anamwaga mabeberu kwa Irene??
Ka [emoji336][emoji336][emoji336] [emoji338][emoji338][emoji338] kumbe ni mbaya?? Ila acha tu wawatafune! Maana wao wanaamini kudanga ndiyo kunaweza kuwatoa kimaisha! Kumbe kuna wakati wahafidhina,hua wanaichakata tu,nakuiacha inasoma odometer za kwenda kua chakafu hukoHuyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
Acha waparuane tujue mambo mengi! Steve Mdananda nadhani kuna kundi lipo nyuma yake,linampa nguvu,ndiyo maana anamwaga mcheleSteve mdananda hilo linajulikana kitambo kingi sana..naona wanamwaga kuku tule watajua wenyewe!
Polepole silent killer
Yawezekana ndio hvyo hvyooo!!!yaani wadada naona wameamua kufanya vitega uchumi miili yao kwa hyo lazima waigharamie by any means maana ikifubaaa wameumia yaani kuna mlolongo baada ya mobeto wapo wanaenda kufanya hizo surgery...Itakuwa mafuta yaliamishiwa makalioni, maana tanasha alikuwa na shape ya kihindi sasa hivi ana bonge la msambwanda wa hatari. Huyo mobeto atakuwa kafanya liposuction sijui
Ngoja tuingie chimbo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona una mtetea hivo huyo askofu jamani
Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Kumbe kudanga kuzuri eee!Shilole ana akili na alitokea kwa shida so anajua maisha ni nini hata akidanga shilole ana nyumba kadhaa pia analea wale mabinti zake vizuri tu, Hamisa na yeye baada ya kuchekwa na watu na kuzalilishana na kina mama dangote na kina zarina akapata akili mpaka sasa ana mjengo wake mzuri tu mjini, na hata joketi hawawezi kufa njaa shida ni kubwa jinga uwoya ana danga na kufanya show off ka za teenager ha think about future aisee. Vera sidika kadanga vya kutosha na kuwekeza hana stress kajioopolea ki Ben ten chake anakula life
Kwa uwoya si huku mbezi mbona kwao kwa kawaida tu sio pakutisha kivile compare na show off za ig
Uwoya hawezi msaidia nduguye yuko radhi amwage mahela kuwafuraisha Wana Ig. Fake life ni shida sanaUwoya ana mdogo wake ana ki duka cha nguo maeneo ya Sinza Palestine. Huwa najiuliza hivi anashindwa kumuongezea dogo mtaji[emoji23][emoji23]
Ukiwa na malengo ila most ya wadangaji hufa maskini kweli kweliKumbe kudanga kuzuri eee!
Yeah anaweza msubiria apate hata wawili then ndo asepeHata mimi nafikiri hivo pia kwa Wolper na yule Ben 10 wake!
Ingia tu ufukue na kupekenyua hukoNgoja tuingie chimbo [emoji23][emoji23]
Shida hata uufanyie nini mwili kila kipindi huwa kina wakati wake ukipita hata ufanyaje haurudi ndio yaliyo mkuta wema.Yawezekana ndio hvyo hvyooo!!!yaani wadada naona wameamua kufanya vitega uchumi miili yao kwa hyo lazima waigharamie by any means maana ikifubaaa wameumia yaani kuna mlolongo baada ya mobeto wapo wanaenda kufanya hizo surgery...yaani wanataka kuendelea kuwa top top mpk kieleweke maana hawana business zaidi ya miiili yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katelephone mubaya huyo in jotis voice loh. Ila hawa wasanii sanaa haiwalipi ni njaa Kali kilichobaki ni ujasiriamwiliKa [emoji336][emoji336][emoji336] [emoji338][emoji338][emoji338] kumbe ni mbaya?? Ila acha tu wawatafune! Maana wao wanaamini mbususu ndiyo inaweza kuwatoa kimaisha! Kumbe kuna wakati wahafidhina,hua wanaichakata tu,nakuiacha inasoma odometer za kwenda kua chakafu huko
kigogo mwenye nywele nyeusi, mwenye plate namba E4Kigogo wa serikali ya JMT top vigogo waleee!anampenda kufaaa!Dada anahongwa balaa!ila mashosti wanasikitika hana hata kiwanja!!!!