Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Mwingine ndo kamuoa Kama skosey
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Utam hauna cha uzee wala kijana
Kati[emoji2960][emoji2960] patamu pale [emoji87][emoji87][emoji87]
Duu aibu kaolewa na mwingine? Bora angekaa mwenyewe awe anadanga kimya kimya ha ha ha ,

Hata kama patamu kujisitiri ni muhimu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye huwa hajali Hilo aache kuji associate na wanaume type hzo maarufu ataumia bure tu ka kipindi cha kiba. Yeye mobeto katoka mda si mrefu na kaka hana mapenzi yeye anataka umaarufu kwa wadada wa mjini
Anatumia hela yake kusafisha nyota na rungu.
 
Huyo mkinga wako anataka umaarufu kinguvu ndio maana anatumia hao mastar na sasa yuko kwa kidoti na kahaaidi hadi ndoa hapo na kidoti kaamini wakati ana mke. I feel sorry kwa mkewe.
Apo na kaulinz kwa mbaaaal et anatoka na serikali so madili yake kwa kwenda mbele
 
Barbra Hasan ndo ameacha Kaz clouds
Au?? Leo wamemuweka mzee wa mitulinga
Mtangazaj wao mpya! Alaf kwenye list.
Dada hayuko.......hapa mawingu watakua
Wameanguka kwakweli
Wamitulinga ni promo ya the icon show yao
 
S2keez bebi...analamba umeme tu. Halaf wanaa wanatindua bila huruma...kuna dogo mmojaa anaitwa heri muzik..mtoto mdogo akaendaga kuyavagaa kwa vadi..daaah.nkasema hiv hawa watoto waadogo wanamjua vadi kweli...
S2k huu umeme unatokea kituo gani code tafadhali.....alaf vad ndo zake kumbe ila sishangai mana wakat akiwa mawinguni alikua anawashobokea sana serengeti boys, kumbe kipind kile ana shoboka kwa heri muziki kumbe chini palikua pana pwita pwita enhee....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom