Yani na wema kipindi anatoka naye alikuwa yuko pick na mahusiano na daimond yalimshushia mno heshima yake na madanga serious, sasa wamemsusaIla dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
Yani na anaropokaga sn shishi. Angetafuta tu mtu mzima mwenzie aachane na hao viben10 wakeHata huyo shishi vile shule yake ndogo na huwa anajiropokea angejua potential yangu angekuwa mbali zaidi shida anawaza kuoa vibeten na kuolewa olewa hovyo na kujiropokea mitandaoni
Na zarina ndio aliyekuja kufifisha umaarufu wa wema, na yeye hamisa akaja kufifisha umaarufu wake Tanzania baada ya kuzaa yule Dylan.Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
ktk watu waliojua kutumia vzr umaarufu wa ni zari. Yani ana akili sn sn madili km yotw
Watu walisema dai sio hadhi yake, lkn wala hakujali. Na akampa umaarufu sana sana. Inabid dai awe anamtumia miamala jmn mara moja moja kulipa fadhilaYani na wema kipindi anatoka naye alikuwa yuko pick na mahusiano na daimond yalimshushia mno heshima yake na madanga serious, sasa wamemsusa
Ataumizwa tu ka kiba hafu ana date wrong people wahuni huni hiviNo way ndio aliko ona patamkuna
..[emoji1]
Eeh kipind kile zar alijitapa sn hlf alikua anamchamba wema sijui hana kikazu, hamisa alivozaa na mondi watu walifurah et kamkomesha zariNa zarina ndio aliyekuja kufifisha umaarufu wa wema, na yeye hamisa akaja kufifisha umaarufu wake Tanzania baada ya kuzaa yule Dylan.
Na wema licha ya kusemwa hakusikia akamganda tu huyo daimond kipindi amepauka, ndio sasa hawa mastaa wajifunze na kuacha kutumika ka madaraja kwa wengineWatu walisema dai sio hadhi yake, lkn wala hakujali. Na akampa umaarufu sana sana. Inabid dai awe anamtumia miamala jmn mara moja moja kulipa fadhila
Ndo hawajifunzi bado tu wanatumikaNa wema licha ya kusemwa hakusikia akamganda tu huyo daimond kipindi amepauka, ndio sasa hawa mastaa wajifunze na kuacha kutumika ka madaraja kwa wengine
Zari na lile guu lake plus kuzaa na daimond madrama ya ugeni na kushobokewa ikifikia hatua akawa anatukana watanzania juu kisa kumpa ustar, sasa mobeto ndio akamaliza kazi kabisa, kweli dawa ya mwanamke jeuri mtaftie mwanamke mwenzake.Eeh kipind kile zar alijitapa sn hlf alikua anamchamba wema sijui hana kikazu, hamisa alivozaa na mondi watu walifurah et kamkomesha zari
Mobeto alijua kukata jeuri ya zari yani. Mana alijitambaaa sana sanaZari na lile guu lake plus kuzaa na daimond madrama ya ugeni na kushobokewa ikifikia hatua akawa anatukana watanzania juu kisa kumpa ustar, sasa mobeto ndio akamaliza kazi kabisa, kweli dawa ya mwanamke jeuri mtaftie mwanamke mwenzake.
Hahaaa mobeto ni hatari anakuibia mume huku anajitapa hadharani waweza kufa pressureMobeto alijua kukata jeuri ya zari yani. Mana alijitambaaa sana sana
Na Dai alikuwa tayari ku settle na Wema..ila team yake ndio iliyomponza na bring back our Wema.Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
Labda watu wazima hawamtaki..kiuhalisia hao watu wazima hawawezi drama za mitandao na wanataka mtu msikivu sasa hawa kina shishi hawataki bila drama hawawezi wanataka ku control mahusiano.Yani na anaropokaga sn shishi. Angetafuta tu mtu mzima mwenzie aachane na hao viben10 wake
Wema alimfanya Diamond awe mwandishi mzuri hasa upande wa mapenzi kwani alimuumiza sana kijana, hapa Tabata kuna jamaa John Mangi alipiga hela TANAPA akafungua grocery yake, mwanzoni akawalipa Bongo Movies hawa akina Kanumba, Aunt Ezekiel na wengine wengi, wakawa kama wahudumu kwa ajili ya kuipromoti grocery, nasikia alimtaka Wema wasanii wenzake wakawa madalali, Wema kaja Tabata ,John kamchukua kampeleka hotelini kujipigia.Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
ktk watu waliojua kutumia vzr umaarufu wa ni zari. Yani ana akili sn sn madili km yotw
Grocery gani hiyo mkuu?apa Tabata kuna jamaa John Mangi
Wameshazoea kiki, na kuishi bila kiki hawawez.Labda watu wazima hawamtaki..kiuhalisia hao watu wazima hawawezi drama za mitandao na wanataka mtu msikivu sasa hawa kina shishi hawataki bila drama hawawezi wanataka ku control mahusiano.
Ila wema na dai walipendana sana, ttzo ilikua ni pesa mana daj alikua hana hela na wema nae alikua n mtu wa matumizi tu so kudanga ilikua ndo option kwake japo alimpenda dai.Wema alimfanya Diamond awe mwandishi mzuri hasa upande wa mapenzi kwani alimuumiza sana kijana, hapa Tabata kuna jamaa John Mangi alipiga hela TANAPA akafungua grocery yake, mwanzoni akawalipa Bongo Movies hawa akina Kanumba, Aunt Ezekiel na wengine wengi, wakawa kama wahudumu kwa ajili ya kuipromoti grocery, nasikia alimtaka Wema wasanii wenzake wakawa madalali, Wema kaja Tabata ,John kamchukua kampeleka hotelini kujipigia.
Mondi anakuja kwenye grocery kuna wana walimtonya kuja pale bongo movies wakamletea ukauzu wakasema hawajui, kumbe John Mangi anajipigia tu na si mara moja jamaa kapiga mara kibao.
Ila kwa sasa jamaa mwenyewe kafilisika maisha yake yanategemea betting na mikeka yake ya jero jero.
Kipindi fulani dogo alikuwa anatoa nyimbo nyingi za kulalamika, kumbe Wema alikuwa anampiga matukio.Ila wema na dai walipendana sana, ttzo ilikua ni pesa mana daj alikua hana hela na wema nae alikua n mtu wa matumizi tu so kudanga ilikua ndo option kwake japo alimpenda dai.