Umeona eehUmemfungulia wazi kabisaa
Duuh unamsemea yule mbuge wa kule gerezani?Katele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!
*yule mdada mbungeDuuh unamsemea yule mbuge wa kule gerezani?
Nancy hanaga hela ...full mfulioUrafiki ukafa kifo cha mende ujue walikuwa wana benefit kwa mama wawili, ila naskia Nancy ndo alikuwa mumbeya wa chokochoko za hapa na pale loh
Mkuu hebu tulia upangilie vizuri....udaku wako mtamuu sanaaKatele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!
Hii midemu sijui na ukosefu wa elimu..yaan haijui kuinvest kabisa yenyewe ni bata tu[emoji848]Kale huwa kana hizo pigo, afu kanaplay u humble... ila mjane nae akili aliziweka wapi kuwekeza akawa km nyumbu
Freedom of speech hakuna mtu aliyetajwa tarehe yake au mwaka wa kuzaliwa.Kuna Kassim Juma necha.#Endeleeeeeeeeni.Huu uzi ni bora ufugwe watu wenye heshima zao wamezalilishwa humu bila kuwa na ushaid wowot
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nomaaaFreedom of speech hakuna mtu aliyetajwa tarehe yake au mwaka wa kuzaliwa.Kuna Kassim Juma necha.#Endeleeeeeeeeni.
Akili fupi km za funza... nyumbu angekua vzuri upstairs angekua mbali sanaaaHii midemu sijui na ukosefu wa elimu..yaan haijui kuinvest kabisa yenyewe ni bata tu[emoji848]
Sanaa mkuu...lkn muone eti " kuk with Wema sepetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akili fupi km za funza... nyumbu angekua vzuri upstairs angekua mbali sanaaa
Mr in-box naye mbona anapenda mizigo ambayo imesoma mamia ya km au anapendea umaarufu?Katele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!
Mjane na msikitikia kweli, kwa sasa anaishi kwenye mawazo na hajaambukizwa chochote tujifunze kuwekeza vyetu. Ila mashoga wamemkimbia mwenzao tabia mbaya hyoKale huwa kana hizo pigo, afu kanaplay u humble... ila mjane nae akili aliziweka wapi kuwekeza akawa km nyumbu
Nilisoma mahali eti had hela ya gesi alikuwa anakosa ananunuliwa, kweli usitamani maisha ya mtu mitandaoni ukasononeka kumbe waweza wazidi vingiNancy hanaga hela ...full mfulio
Wako wengi tu kwa list apart shishi mzee baba anaupiga mwingiHuyu siyo shisshi ni nani huyu?
Ohooo si Mr wake mudhungu au mudhungu pori?Nilisoma mahali eti had hela ya gesi alikuwa anakosa ananunuliwa, kweli usitamani maisha ya mtu mitandaoni ukasononeka kumbe waweza wazidi vingi
Kudadadeki😅Maua nae anaachilia mbususu Kwa sirisir
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata Yule MP alie mleta kwenye game nae alipita hapo