Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Duuh unamsemea yule mbuge wa kule gerezani?
 
Mkuu hebu tulia upangilie vizuri....udaku wako mtamuu sanaa
 
Mr in-box naye mbona anapenda mizigo ambayo imesoma mamia ya km au anapendea umaarufu?
 
Kale huwa kana hizo pigo, afu kanaplay u humble... ila mjane nae akili aliziweka wapi kuwekeza akawa km nyumbu
Mjane na msikitikia kweli, kwa sasa anaishi kwenye mawazo na hajaambukizwa chochote tujifunze kuwekeza vyetu. Ila mashoga wamemkimbia mwenzao tabia mbaya hyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…