Kaz ya ntu ni Ile amezoe[emoji1][emoji1][emoji1]Leo nimegundua kumbe na mimi mpana. Yani code nyingi nimeshangaa watu wanahangaika mie nazipata kirahis. Inabid nibadilike [emoji38]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] jamani. Inabid nitafute dawa ya kubadilika chaaaaKaz ya ntu ni Ile amezoe[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ufute Ig na if [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] jamani. Inabid nitafute dawa ya kubadilika chaaaa
Unaweza futa ig lakin mambo yakakufuata huku. Kufuta JF haiwezekani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ufute Ig na if [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]taabu ndo iko hapoUnaweza futa ig lakin mambo yakakufuata huku. Kufuta JF haiwezekani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Anayumba [emoji3][emoji3][emoji3]sasa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Anarahisha ugali wake bwana
Jf idumu idumuuu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]taabu ndo iko hapo
Mtu tukikosa bundle la kuingia jf tunaumwa
Kapuuzi sana kale katoto watu wa tanga baadhi ndo mambo zao izoo!Yule dem nilikuwa simpendi kabisa tokana na mashauzi yake ya kishamba ya kujitapa kavaa nguo za mil.3 mara oh yeye haachiki! Sahizi haamini kilichotokea [emoji28][emoji28][emoji28]
Acha kabisaaa Jana nilijikuta nshambonji miye[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ushaamkia kilingen[emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nani katajawa humu!!?mmeanza vyawaaa!!!Huu uzi ni bora ufugwe watu wenye heshima zao wamezalilishwa humu bila kuwa na ushaid wowot
[emoji3][emoji3][emoji3]habari ndo hyoooEeeh nishampata, kumbe dada alifumaniwaga[emoji849]
Umbea uendelee...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uzi unakimbia huu khu khaa[emoji23][emoji23]...cariha na wenzio nawasalimu
Hapo sasa....uchawi tuu!akizeeka atakua mwangaAcha uchuro huu Uzi Nani katajwa hapa, hafu hayo si matendo yao
Maisha ndio haya cheka kabla hujakutana na tozo 😅 maana lazma utanuna ghafla[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa unajua
Nmechoka kucheka aiseee
Ntazma data mm [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hakuna G5 wala G7 mwenye mizizi kakata baasi kila mtu na lwake!Urafiki ukafa kifo cha mende ujue walikuwa wana benefit kwa mama wawili, ila naskia Nancy ndo alikuwa mumbeya wa chokochoko za hapa na pale loh
Na wale maG5 hawapo tenaa
Hahahah ndio kwanza nimewasha data😅😅😅Huchoki[emoji23][emoji23][emoji23]
Ana ban moja takatifuuuuu!sijui aliyabananga wapii!!!@cocasted
sio MbeJe uyo?Bado hujamtaja
Ukiskia kwa shida na raha ndio hio sasa😅! Lazma itafikia wakati mtambue kwamba hata dagaa nae ni mboga kama Sato tu sema mnofu ndio hajabarikiwa na mchicha sio chakula cha mbuzi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hakuna G5 wala G7 mwenye mizizi kakata baasi kila mtu na lwake!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]woiiiii!!!hureeeee!!!!ahsante studiooo!baasi ukute nae ana minyenyere etiii!!!duuhh!dada dekiii!!Katele alivunja uchumba wa mtu yaani alindatisha mdada aka Leta madharau kwa mshikaji wetu! Aka mpa stress haswa jamaa alidukua cm ya mdada alucho kutana nacho Ana sema hakuwahi dhania aisee! Bidada alikuwa Hadi ktk misafara ya katele yupo! Mwisho alibwagwa akaanza kusumbua misamaha ya hapa na pale! Jamaa aka mjibu ukitaka kurudi kwangu twende tukapime afya aligoma Ila kawe kwa na katele serikalini Ana jiachia hatari amekuwa mlezi wa wana!