Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Àlibugi na anajutaa unaambiwa hana kiki mjini halafu yasemekana Neema ndepanya anamtumia tu kwenye series zake hamlipi wala nini
 

Dada mbona povi jingi? kuna personal issues au?
 
Wema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...

Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
Wema baada ya kuanza kupotea akaenda kukata utumbo Matokeo yake daimond kamwacha nyota kufifia.

Uwoya lijua hizo lips zake ni wanja kumbe kaongeza duh. Uwoya asije fanya sura kuwa ka michael jackson akishindana na wakati
 
Ni kweli ma slay queen walinyimwa akili na wengi huishia pabaya sana, sasa sijui umalaya huwatia ngudu au kitu gani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…