Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ukiskia kwa shida na raha ndio hio sasa[emoji28]! Lazma itafikia wakati mtambue kwamba hata dagaa nae ni mboga kama Sato tu sema mnofu ndio hajabarikiwa na mchicha sio chakula cha mbuzi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dagaaa what?!!!hajabarikiwa minofuuu!!!

Yaani siku hizi wamepoa balaaaa!!hakuna vacation za ajabu ajabu wala nini!kila mtu katulia na mmewe!
 
Hahahahahah ila hawa Mastaa wetu bana ni kipengele! Star anakaa nyumba ya kupanga Mbagala[emoji28]??? Bora angekuwa hata kapanga Masaki
Hana uwezo wa kujenga msanii mwenye nyumba nna hakika ni 100%ni walezi wa vibe10 wale wawili mama misosi na mama biskuti tena mama biskuti ana duka moja matataa kkoo demu yule ana akili za kinyaki haswaaa!!
 
Hana uwezo wa kujenga msanii mwenye nyumba nna hakika ni 100%ni walezi wa vibe10 wale wawili mama misosi na mama biskuti tena mama biskuti ana duka moja matataa kkoo demu yule ana akili za kinyaki haswaaa!!
Hapo kwa mama biskuti nikupe mji, uende kwa shangaz wa bongo muvi! Waenda humo?
 
Mzee alikuwa anapokea Magari tu kama zawadi za bethdei[emoji28] mie nikiwa Ushirikani pale maana mzee alikuwa staff katika ile taasisi!

Kumbe ni kwa hisani ya mzee machache [emoji28][emoji28][emoji28]
Acha kabisaaa mzee akaona hapana akapiga goti kuomba aachwe mwanawe ....bure ghali raha kupokea tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…