Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Aiseeee😅Masaki mchezo? Kuna mtu aliniambia ana m800 nikamtafutie nyumba ya kununua nikajua hapa lazima nitoboe kamisheni nipate hata crown, nilimaliza soli pea za kutosha sikuambulia kitu.
Hyo ngumu kumesa kisa cha kuji risk ukiwa na woga tendo lenyewe linakuwa halina rahaHahahahah unakumbatia timed bomu huku umefumba macho[emoji28]
Kirusi kimeshafubazwa na hapo kilipo kimeshakosa maarifa ya kumutate zaidiKummmk mfano kile kimelea cha mwaka 80 kikitupwa ghafla kwa mmbongo movie mmoja leo tu tutawazika kama kuku! Maana kilikuwa kinaondoka na batch kila baada ya miezi mitatu 😅😅😅
Yule DC ashukuru Mungu ana akili ya shule na jiwe kumteua bila hivo na yeye ingekuwa hivo hivo ka kina wemaMtoto wa balozi af fara! Bora hata yule DC wetu wa uzaramuni
HahahahahHyo ngumu kumesa kisa cha kuji risk ukiwa na woga tendo lenyewe linakuwa halina raha
Basi sawa, atakuwa hashikiki Sasa hiviMobero kafanya liposuction huko turkey karudi mswabanda havai kigodoro
Mungu alimpa kichwa halafu mzee wao alikuwa mtu wa system ndio watu ambao jiwe aliishi nao vizuri akawa anawafadhiliYule DC ashukuru Mungu ana akili ya shule na jiwe kumteua bila hivo na yeye ingekuwa hivo hivo ka kina wema
Sasa hivi hamisa wamoto kweli hadi ka mu shit mama dangote yuko vizuriBasi sawa, atakuwa hashikiki Sasa hivi
Masimango ni booster nzuri sana kwa mtu mwenye akili, inakupa presha ya kwenda mbele kimafanikio, Ma dangote alijua anamkomoa kumbe anampa presha kupata vyake.Sasa hivi hamisa wamoto kweli hadi ka mu shit mama dangote yuko vizuri
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Stivu anajua hana shule udananda ndo ajira yake!!!lazima aplay cards vyemaa...ila kuna saa anatamani kua demu!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mama biskuti ni ex wa mkata mauno wa (waclean bebi)na bar ilikua maikocheni nao iko nje ya mji hukoo!!!Hapo kwa mama biskuti nikupe mji, uende kwa shangaz wa bongo muvi! Waenda humo?
Nimeshampata mama jishale aka mlezi wa wana😅[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mama biskuti ni ex wa mkata mauno wa (waclean bebi)na bar ilikua maikocheni nao iko nje ya mji hukoo!!!
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kile chombo kumbe ni mtambo wa kufua umeme pia[emoji28]!!! Ina maana mwendazake alikuwa anatusakizia Tanesco wana wa uhalawe kidongo chekundu!
Anapuliza kama kawa, alafu ile siyo biashara kuu, fatilia wauza nguo wote kuanzia robyone, hussein pamba kali na wengine zile biashara wanatakatishia mpunga wa nyeupe.Yule mwamba nae vipi anatumia miti miti kwenye biashara zake?
Traco lako wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi yule hang'atwi backbenjer kweli...ana mambo ya kimama mama sana
Alifanya IVF nafikiri nilowahi skia hyooo!Wale mapacha alipigaje maana kwa uzee ule lazima kapiga mechi nyingi hadi kupata pacha.