Ha ha haAnataka connection ale bata kama lile la wema, tumuambie ama tusimuambie alipo CK[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kaka unaupenda umbea, tangu jana sidhani kama hata umewasha TV kumsikia bi mdashi akiongea na Salim Kikeke.
Nimechsmbwa sina hamu.[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nakubaliana na wewe DadaUjue anaweza akawa anamchezea kwa vidole na kumhonga basi wanawake tuna siri sana
Hawa vigogo wengi visukari na pressure so wanaweza kuwa wanachezea na kuhonga basiNakubaliana na wewe Dada
Ha ha haha[emoji16][emoji16][emoji16]Ananisaidia nini cha maana mkuu? Anajua nimekulaje na nimeweka vipi bundle katika hii simu yangu mkuu?
Afterall majukwaa ni mengi humu huwa ninaenda ambapo roho inataka so sidhani kama mie kuwapo hapa kuna effect zozote katika maisha yako mpaka kufikia kutaka kuingilia faragha zangu huku! Hebu fata mambo yako mzee usintaftie Ban!
Ha hahaNimechsmbwa sina hamu.
Cool down Mzee huyo stress zakeAnanisaidia nini cha maana mkuu? Anajua nimekulaje na nimeweka vipi bundle katika hii simu yangu mkuu?
Afterall majukwaa ni mengi humu huwa ninaenda ambapo roho inataka so sidhani kama mie kuwapo hapa kuna effect zozote katika maisha yako mpaka kufikia kutaka kuingilia faragha zangu huku! Hebu fata mambo yako mzee usintaftie Ban!
Sm haijapata tu charge shoo[emoji3]Shoo price breaker hivi mwajua mambo zake?!!!!Hahahhaa....!!kaka ngoja sasaa nilete umbea ambao mtashaaa!ngoja nichaji simu niwape za prais breaker
Bwana weee si nikasahau, halafu kuna mtoto mmoja wa stone alikua anaishi nae huyo betinaSio lazima rangi ya mtume mbona yule betina assistance wa radio kule bungeni alikuwa wake na alimtoa huko na kumpa ubunge hadi u assistance radio mbao ya kule mjengoni.
Mzee alikuwa vizuri kuhonga nadhani madam assistance radio bado anaugulia msiba
Mwanaume huwa hakomolewi, mwisho huyu betina atavaa chupi kichwani, suala la mudaIla betina hatari jamani kupewa cheo kwa kuvuliwa [emoji160] ndo amnyanyase ubavu wake kiasi hicho maana na yeye alikuwa ana mpango wake kando, hata huyo mumewe ni handsome balaa kumuoa ilikuwa tu kumsitiri huo betina, na alifanya vibaya kumlipiza mumewe uchepukaji kumfanya atolewe nafasi zote za ulaji, sasa mwendazake kaondoka duniani itakuwa mumewe alipiga kigelegele Cha furaha maana ndio alikuwa ana mpa kibri na hyo 2025 sijui ka atarudi maana mbeleko yake kwishney
Mwambie alipo ajue tu[emoji12]Anataka connection ale bata kama lile la wema, tumuambie ama tusimuambie alipo CK[emoji23][emoji23]
Code zinatembea balaa!Sio lazima rangi ya mtume mbona yule betina assistance wa radio kule bungeni alikuwa wake na alimtoa huko na kumpa ubunge hadi u assistance radio mbao ya kule mjengoni.
Mzee alikuwa vizuri kuhonga nadhani madam assistance radio bado anaugulia msiba
Na kwanini wanawivu wakijua mwamba unapelekea motroo side chik zao wakati wenyewe gia zimeshafeli.Hawa vigogo wengi visukari na pressure so wanaweza kuwa wanachezea na kuhonga basi
[emoji1787][emoji1787]Hahahahah unakumbatia timed bomu huku umefumba macho[emoji28]
Sura, nafsi hadi mwili si kwa roho hiyoSasa yule bado black beauty wa kwa wanyakyi...mama yule ni mke wa mtu then mmewe alikua mtu mzito pale kwa watu wa usafiri,kipindi mke hana cheo Mme alikua mgoni ile balaa baasi alivookota apple kwenye mpera kwa mwenda zake akapewa kicheo,bwana...
Picha linaanza.....!!!!Mme katolewa jiji letu kapelekwa kwa wagogo,picha la pili Mme akanyang'anywa vitengo vyoootee!!kibao kimemrudia mzee baba...mke anaongea na mzee stone kua huyu asipelekwe kokote akae hapa hapa kwa wagogo na asipewe kitendo baasi Mme kile mishe inafeli anaambiwa amri toka juuu!![emoji2][emoji2][emoji2]kadada kale kamdmkomesha ka Mm mpk mwanaume P zimelegea tu ashki majnuun zimemuishaa....!!!!mke anamswagaa vizuri[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]jamaaa anatamani divosi....weeeee!!!muoneni vilevile kanyimwa sura mpk nafsiii!!!
Kiukweli nyie wadada wa mjini mna mambo hata shetani anawaogopaYani na hizi surgery zao fake I think uwoya kaweka lips fillers sijui wanaita ka za kelly jenner. Naona hamisa naye kaongeza tako kwa mturuki naona limemharibu maana halitikisiki kabisa
Sho betina ni nani jmn?Ila betina hatari jamani kupewa cheo kwa kuvuliwa [emoji160] ndo amnyanyase ubavu wake kiasi hicho maana na yeye alikuwa ana mpango wake kando, hata huyo mumewe ni handsome balaa kumuoa ilikuwa tu kumsitiri huo betina, na alifanya vibaya kumlipiza mumewe uchepukaji kumfanya atolewe nafasi zote za ulaji, sasa mwendazake kaondoka duniani itakuwa mumewe alipiga kigelegele Cha furaha maana ndio alikuwa ana mpa kibri na hyo 2025 sijui ka atarudi maana mbeleko yake kwishney
Alijisahau sanaa, wakati mambo hubadilika within a secondIla betina hatari jamani kupewa cheo kwa kuvuliwa [emoji160] ndo amnyanyase ubavu wake kiasi hicho maana na yeye alikuwa ana mpango wake kando, hata huyo mumewe ni handsome balaa kumuoa ilikuwa tu kumsitiri huo betina, na alifanya vibaya kumlipiza mumewe uchepukaji kumfanya atolewe nafasi zote za ulaji, sasa mwendazake kaondoka duniani itakuwa mumewe alipiga kigelegele Cha furaha maana ndio alikuwa ana mpa kibri na hyo 2025 sijui ka atarudi maana mbeleko yake kwishney