Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ha ha haha[emoji16][emoji16][emoji16]

Mkuu kaongea kwa joke sidhani kama alikuwa anamaanisha huyo
 
Cool down Mzee huyo stress zake
Za maisha znamsumbua

Akimskiliza yeye huyo bi mdash inatosha
Maana yy ndo anampa kula
 
Sio lazima rangi ya mtume mbona yule betina assistance wa radio kule bungeni alikuwa wake na alimtoa huko na kumpa ubunge hadi u assistance radio mbao ya kule mjengoni.
Mzee alikuwa vizuri kuhonga nadhani madam assistance radio bado anaugulia msiba
Bwana weee si nikasahau, halafu kuna mtoto mmoja wa stone alikua anaishi nae huyo betina
 
Mwanaume huwa hakomolewi, mwisho huyu betina atavaa chupi kichwani, suala la muda
 
Hawa vigogo wengi visukari na pressure so wanaweza kuwa wanachezea na kuhonga basi
Na kwanini wanawivu wakijua mwamba unapelekea motroo side chik zao wakati wenyewe gia zimeshafeli.

Sema wanapenda kujimilikisha mizigo ile mikali ili waonekane vijigoo.

Ndo mana unajiuliza mbona wake zao wako kimya kumbe wanajua shughuli hamna humo hata hawashtuki.
 
Sura, nafsi hadi mwili si kwa roho hiyo
 
Sho betina ni nani jmn?
 
Alijisahau sanaa, wakati mambo hubadilika within a second
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…