Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wewe inabidi nikufahamu sio kwa kuyajua madanga sugu kiasi hiki[emoji1787]
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]acha masihara baasi staki kuamini.....Inbox kwa jf kunaitwaje?!!!umbea gharama kweli.... utajua.... tuu!hahahaaaa
Mmh mbea gharama nimetoka kapa mkuu
Ahsante kaka yaani mpk hapo km hawajaelewa baasi yaani code rahisi mnoooo...
Mkuu hujui kufungua Code?? Sms za JF zinaitwaje kwa kiingereza?? Ndiyo cheo cha huyo Mwamba! Sasa leta zakuleta,utaishia segedansi
 
Top 3 kwa serikali ila kwa nchi siyo.
Nchi = Raisi>vice>Speaker> Cj>pm
Top 3 always hua ni watumishi wa Serikali Kuu tu kaka!

1. Rais
2. Makamu
3. Waziri Mkuu

Sasa ukisema top three ni
1. Serikali
2. Mahakama
3. Bunge

Inakua tofauti sana! Maana kila siku huna tunadeal na serikali,hao kina Ndugai na Prof Juma sio sana!!
 
Shuka chini hapooo!!!!tafsiri hao kwa kizungu jibu utapata[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Konzi lako nafikiri ntalifurahia sana[emoji16][emoji16]
Ahsante mangungu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…