Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Alikwenda shopping Dubai akaweka kiatu cha $3,000 Instagram anatoka shopping. Mtoto alikula maisha.
 
Ungejua mwedazake alipokata waya kuna gengi walitaka kumuovateki vice ili jobo ateki ova ni protokoo broo.
 
Yes brother,najua,bila ujasiri wa Mabeyo! Sasa hivi Rais angekua yule Radio a.k.a Kazi! Huyu angetulisha sumu watanzania tufe wote,maana msela ana roho ngumu sijawahi ona
Mhh yobo kimbunga sijui wewe unamtaja nani utajijua mwenyewe.mi nimesema yobo kimbunga
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kushindana na maiko jaksoni kaahhh....!!!mbona wadada ndo habari ya mjini sasa hivi surgery kuna mmoja anataka kwenda akienda tu ntajua!
Yani na hizi surgery zao fake I think uwoya kaweka lips fillers sijui wanaita ka za kelly jenner. Naona hamisa naye kaongeza tako kwa mturuki naona limemharibu maana halitikisiki kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…