vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 406
- 717
We unaamini kainunua?
Mtu Alisha inunua timu miaka 5 iliyopita na mpaka Sasa anasema ameshatumia zaidi ya bilioni 55 ukiacha billion 20 za uwekezaji alafu anatokea mpuuzi mmoja anasema aondoke!!
Hii Nchi inavituko