Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yake

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yake

Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Hii ndio Nchi tuliyobaki nayo! wachumia tumbo wasio na haya
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Anatuaibisha watu wa mbozi huyu
 
Sio lazima uniheshimu. Mimi nina biashara zangu zinazonipatia kipato cha kutosha na sihitaji kuwa chawa. Hata PM nimefunga.
Hicho kiherehere cha kumpamba chawa wa chawa umekitoa wapi?

Au biashara yako imebuma na do maana umepatana na chawa wa chawa?
 
Naunga mkono hoja, kiukweli huyu kijana sio tuu ana kipaji, ni akili kubwa na pia ana upako fulani, kwa kuanzia nitamshauri Sofia amvute pale Lumumba Idara ya uenezi, 2025 kichwa hiki kiingizwe mjengoni.
P
Ilikuaje wakashindwa kukuvuta ww pale cow way
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Acha ku-promote MACHOKO JF,tafuta forum za MACHOKO wenzenu huko SHOGA wewe
 
Back
Top Bottom