Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yake

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yake

Mimi sio Mwashambwa. Pia sina shida ya kutaka hela kupitia siasa ndo maana hata PM nimefunga. Nina biashara zangu zinazonipatia kipato halali cha kutosha.
Kwa level ya kumpigia debe Mwosha mbwa wewe ni chiboko
 
Nimesema hivyo kwa sababu watu wanasema niweke namba ili nipate teuzi wakati siko na mawazo hayo. Nimefunga PM ili kama kuna watu wanadhani ninahitaji teuzi washindwe kuwasiliana nami.
Kwa hiyo wewe unatafuta nini hasa hadi upoteze muda wako JF kuandika all these?
Tunajua unajipigia promo mwenyewe wewe Mwashambwa kwa hii ID nyingine, basi tuseme wewe siyo Mwashambwa, sasa ni nini kinakusukuma hadi uje umpigie promo kama siyo kutafuta maslahi binafsi?
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia

Naona umeamua kuja na ID yako nyingine 😂
 
Ni hivi mtanzania huwa anatamani kuona wengi wakiwa upande wa hasi.
Binafsi sina chama ila sioni hoja za msingi za WAPINZANI tangu aingie JPM na sasa SAMIA .
Wapinzani wanaokoteza okoteza tu agenda hawaeleweki wanasimamia nini.
Fikiria eti chadema wanawaza kumrudisha kwenye ubunge SUGU jiji la mbeya wamtoe PhD holder!
Unaanza kujiuliza hivi akili zao zipo sawa !
Umtoe PhD umuweke fom six, kwa nini usitafute mwenye Phd mbili ili amtoe mwenye moja.
Sugu alifanya nini cha maana Mbeya ambacho ni mfano wa kiigwa na vijana au sisi watazamaji?
 
Kwa hiyo wewe unatafuta nini hasa hadi upoteze muda wako JF kuandika all these?
Tunajua unajipigia promo mwenyewe wewe Mwashambwa kwa hii ID nyingine, basi tuseme wewe siyo Mwashambwa, sasa ni nini kinakusukuma hadi uje umpigie promo kama siyo kutafuta maslahi binafsi?
Huo muda niliopoteza umekuathiri vipi kwenye maisha yako? Ulitaka nimpigie promo mama yako ili ufurahi?
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Huyo mwenye akili kama suphian za mtu mfu
 
Mtu wa mbozi huyu ni mnyiha ( tumleshe tumgoje?) Hawa watu ni kabila ambalo kutoa roho hawaonagi shida
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Mkumbukeni kwenye teuzi zenu
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
ZAMA HIZI UPAMBUVU NAO UMEKUWA UZALENDO!
NA UKWELI UKIELEZWA, UNAONEKANA MPINZANI WA RAIS!

HAKIKA HATA SHETANI ANAWAFUASI!!
 
Ni hivi mtanzania huwa anatamani kuona wengi wakiwa upande wa hasi.
Binafsi sina chama ila sioni hoja za msingi za WAPINZANI tangu aingie JPM na sasa SAMIA .
Wapinzani wanaokoteza okoteza tu agenda hawaeleweki wanasimamia nini.
Fikiria eti chadema wanawaza kumrudisha kwenye ubunge SUGU jiji la mbeya wamtoe PhD holder!
Unaanza kujiuliza hivi akili zao zipo sawa !
Umtoe PhD umuweke fom six, kwa nini usitafute mwenye Phd mbili ili amtoe mwenye moja.
Sugu alifanya nini cha maana Mbeya ambacho ni mfano wa kiigwa na vijana au sisi watazamaji?
Yawezekana, huyo PhD na msukuma Kuna tofauti kwani.
 
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.

Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.

Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Hivi hili jukwaa hakuna moderator? Hii takataka imekuwa celeb lini?
 
Back
Top Bottom