Kwa level ya kumpigia debe Mwosha mbwa wewe ni chibokoMimi sio Mwashambwa. Pia sina shida ya kutaka hela kupitia siasa ndo maana hata PM nimefunga. Nina biashara zangu zinazonipatia kipato halali cha kutosha.
Kwa hiyo wewe unatafuta nini hasa hadi upoteze muda wako JF kuandika all these?Nimesema hivyo kwa sababu watu wanasema niweke namba ili nipate teuzi wakati siko na mawazo hayo. Nimefunga PM ili kama kuna watu wanadhani ninahitaji teuzi washindwe kuwasiliana nami.
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.
Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.
Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Huo muda niliopoteza umekuathiri vipi kwenye maisha yako? Ulitaka nimpigie promo mama yako ili ufurahi?Kwa hiyo wewe unatafuta nini hasa hadi upoteze muda wako JF kuandika all these?
Tunajua unajipigia promo mwenyewe wewe Mwashambwa kwa hii ID nyingine, basi tuseme wewe siyo Mwashambwa, sasa ni nini kinakusukuma hadi uje umpigie promo kama siyo kutafuta maslahi binafsi?
Mimi ni baba yako mzazi. Muulize mama yako vizuriKwahiyo wewe ndio lucas si ndio 😁😁😁😁😁
Huyo mwenye akili kama suphian za mtu mfuKwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.
Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.
Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Tuna safari ndefu sana!Unajisifia mwenyewe. Bongo bhana...!!!!
Mkumbukeni kwenye teuzi zenuKwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.
Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.
Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
LizaboniMasahihisho : Mwashambwa siyo Mzalendo wala siyo mpenda Nchi , NI CHAWA WA SAMIA , akiondoka Samia na yeye atatoweka JF kama walivyotoweka MATAGA wa Jiwe
Wenye mamlaka wanasoma hapa. Ikiwapendeza watafanya jamboMkumbukeni kwenye teuzi zenu
ZAMA HIZI UPAMBUVU NAO UMEKUWA UZALENDO!Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.
Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.
Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Yawezekana, huyo PhD na msukuma Kuna tofauti kwani.Ni hivi mtanzania huwa anatamani kuona wengi wakiwa upande wa hasi.
Binafsi sina chama ila sioni hoja za msingi za WAPINZANI tangu aingie JPM na sasa SAMIA .
Wapinzani wanaokoteza okoteza tu agenda hawaeleweki wanasimamia nini.
Fikiria eti chadema wanawaza kumrudisha kwenye ubunge SUGU jiji la mbeya wamtoe PhD holder!
Unaanza kujiuliza hivi akili zao zipo sawa !
Umtoe PhD umuweke fom six, kwa nini usitafute mwenye Phd mbili ili amtoe mwenye moja.
Sugu alifanya nini cha maana Mbeya ambacho ni mfano wa kiigwa na vijana au sisi watazamaji?
Yani ajitia dole mwenyewe halafu ananusa.Unajisifia mwenyewe. Bongo bhana...!!!!
Hivi hili jukwaa hakuna moderator? Hii takataka imekuwa celeb lini?Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha nondo nzito nzito na kuwaacha wapinzani wa Dr Samia Suluhu Hassan wakitapatapa. Hii inaashiria nini? Inaashiria Dr Samia kupata ushindi wa kishindo 2025 kutokana na mwamko wa vijana kama Mwashambwa.
Pia ninafurahishwa na jinsi Mwashambwa anavyoandika mambo mazuri yanayofanywa na spika kijana Tulia Ackson. Hakika HUU NI UZALENDO. Watu wengi wanamdhihaki kuwa ni chawa bila kujua Lucas anazidi kupenya kwenye mioyo ya wapiga kura. Jitihada za Lucas zitaleta kura nyingi sana kutoka upinzani.
Viva Komredi Lucas! Viva CCM! Viva Mama Samia
Kaa kimya wewe na PhD ya mchongoHivi hili jukwaa hakuna moderator? Hii takataka imekuwa celeb lini?
Wewe ni mnafikiKunatofauti kubwa kati ya uzalendo na unafiki, naona wewe unachanganya mambo.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app