Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Atajua anatukanwaHumtendei haki Lucas Mwashambwa, ungemtafsiria si unajua tena elimu yake ni ile ya MEMKWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajua anatukanwaHumtendei haki Lucas Mwashambwa, ungemtafsiria si unajua tena elimu yake ni ile ya MEMKWA.
Kwani hatuoni kwenye vyombo vya habari hiyo misaada na mikataba ambayo serikali ya awamu ya Sita inaingia? Halafu cha kushangaza mambo yamezidi kuwa magumu huku mtaani vocha ya sh 1,000 inauzwa 1,100. Sasa kuna haja gani ya Rais na serikali yake kuzunguka huko duniani huku upatikanaji wa basic needs nao unazidi kuwa mgumu? 😂 😂 😂Talks with proves, unauhakika na usemalo?
Hizi resources ni "HANDLE WITH CARE", kwa sababu dunia ni ya watu wote, hata aliye nje ya mipaka ya nchi yako naye pia anahesabu kuwa ana haki nazo. You don't, you diePK yuko sahihi. Viongozi wengi wa Afrika wana uwezo mdogo wa kufikiri. Haiwezekani nchi yako ina raslimali za kila aina! Halafu bado unaendekeza umatonya.
Inauma sana mkuu, hata aje nani atabadilishwa na system iliyozoelekaUjue kuna kitu huwa kinaniumiza na kunihuzunisha sana.
Ukikaa na whites waliowengi huwa wanaona sisi blacks hatuna akili na bado hatujawa binadamu kamili kujitawala, wanatudharau na kututukana sana.
Mimi naona wanakosea sana kujumlisha wote kwa pamoja.
Wenye sifa hizo hapo hapo juu ni viongozi, Afrika bado inawatu bora sana. Ila aina za siasa za Afrika ndio inafanya wenye Karama za uongozi wakae pembeni na tuongozwe na watu wa hovyo wasiojali.
Tuna ongozwa na kiongozi wa kukopaYaani wameamua kuziweka rehani Rasilimali za Nchi yetu 🙌
Ngoja tumwambie sikioni Lucas Mwashambwa"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Yaani hadi kuteua marehemu!!!Tuna ongozwa na kiongozi wa kukopa
Aibu snYaani hadi kuteua marehemu!!!
Hatari sana, Kwa taarifa ya hadi Mwezi Machi, 2024 Deni la Taifa limefikia Trilioni 82.25Tuna ongozwa na kiongozi wa kukopa
Kutwa anazunguka kuvalishwa PhDHatari sana, Kwa taarifa ya hadi Mwezi Machi, 2024 Deni la Taifa limefikia Trilioni 82.25
Nadhani hadi kufikia Mwakani huenda Deni likafika kwenye Trilioni 90 ama 95