Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Very good theoretically,very poor practically!
Huyu kagame hamnaga kitu kichwani huyu anachukua waomba hifadhi waliokimbizwa uk??
 
Ujinga wa miaka 300 iliyopita bado wanao viongozi wengi sana kwenye nchi za kiafrika

Naona ni ugonjwa wa akili sio bure
Haiwezekani unajua kabisa unaomba ili uibe
 
Kwamba kagame Hakopi ? Tena yeye ndo ameshindikana mpaka anajitwalia mali za nchi za waafrica wenzao kwa Mabavu
Mr Kukwapua namba moja. Amejimilikisha maeneo ya Congo mpaka wanapigana na Uganda kwa rasilimali ambazo siyo zao.
 
PK yuko sahihi. Viongozi wengi wa Afrika wana uwezo mdogo wa kufikiri. Haiwezekani nchi yako ina raslimali za kila aina! Halafu bado unaendekeza umatonya.
Ni kama mwanamke malaya tu
Ana mume, anafamilia bora lkn kutwa kutembeza papa nje.
Afrika ina viongozi wachache waliowahi kujitambua na kuthamini utu wa mwafrika mweusi.
Paul Kagame
Pombe Magufuli
Patrick Rumumba
Julius Nyerere.
Wengi waliopo hawaamini ktk kujitawala. Hawathamini uhuru wala sovereignity
Hawataki kulindwa na wananchi wanaowaongoza ila wanaamini wapo salama zaidi wanapolindwa na mataifa ya nje.
Ndio sababu wanagawa rasilimali na uhuru wa vizazi vijavyo.
Waafrika weusi bado tunasafiri ndefu sana. Unafiki ndio chanzo .
 
Mr Kukwapua namba moja. Amejimilikisha maeneo ya Congo mpaka wanapigana na Uganda kwa rasilimali ambazo siyo zao.
Bora yeye anatafuta nje analeta ndani.
Wa kwenu wanatoa ndani wanapeleka nje.
Kiongozi shupavu ni yule anaetanua himaya yake
 
Yule mtutsi itakuwa tumemkanda mahali si bure, na sasa tuongeze majeshi yetu yakawakumue zaidi M23 watokomee kwao Rwanda na wakija bongo tuwadake tuwakabidhi kwa serikali ya Congo DRC.

Ni hatari mno kuruhusu waasi wa Congo toka Rwanda kumiliki sehemu ya Congo maana wakitamalaki huko Goma lazima watatest mitambo bongo.

Sisi bongo hatuombi tunakopa na uwezo tunao tunalipa, mtutsi anajitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo ni aina tu ya mayowe ya mkosaji.

Mama Sa100 mbele kwa mbele
Huyo mtusi achana naye anaakili na maarifa kuzidi viongozi wote wa Afrika mashariki na ukanda wote wa kusini.
Kumbuka hayati Mtikila aliwahi sema huyo mtusi kaingiza vijana wake zaidi ya 1000 kwenye wizara nyeti ndani ya serikali yetu.
Bado unamchukulia poa?
 
Ujinga wa miaka 300 iliyopita bado wanao viongozi wengi sana kwenye nchi za kiafrika

Naona ni ugonjwa wa akili sio bure
Haiwezekani unajua kabisa unaomba ili uibe
Nimecheka sana kwa huzuni.
"Wanaomba ili waibe"
Huu ni utaahira aysee,
wewe ni kiongozi inakuwaje tena wewe ndio unakwiba?
 
Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.

Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?

Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.

Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.

Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Umemaliza mjadala.Twakuunga mkono asilimia 100.
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Mkuu hata kuchapia pia huleta vicheko, toa comment kama ulivyoombwa Mkuu.
 
Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.

Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?

Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.

Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.

Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
✍️📝👍👌👊🙏
 
Hizo aibu Magufuli hakuzitaka, hakuna wskukujengea nchi na Kwa sera za Rais Samia kamwe hatokuja kukuza uchumi imara Kwa nchi hii
Hahahah, pole mkuu kumbe ule ulaghai wa Juwe ulikuwa unauamini!!!
 
Nimecheka sana kwa huzuni.
"Wanaomba ili waibe"
Huu ni utaahira aysee,
wewe ni kiongozi inakuwaje tena wewe ndio unakwiba?
Hawana akili mkuu, wanaomba ujenge barabara halafu kila leo ajali
Wanaomba za madawa, na watoto wanakufa kila leo
Wanaomba za shule huku vyoo wanashindwa kujenga
Hizo hela huwa wanagawana wao bila aibu
 
Back
Top Bottom