Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr Kukwapua namba moja. Amejimilikisha maeneo ya Congo mpaka wanapigana na Uganda kwa rasilimali ambazo siyo zao.Kwamba kagame Hakopi ? Tena yeye ndo ameshindikana mpaka anajitwalia mali za nchi za waafrica wenzao kwa Mabavu
Lucus msambwanda atabubujikwa na machozi"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Ni kama mwanamke malaya tuPK yuko sahihi. Viongozi wengi wa Afrika wana uwezo mdogo wa kufikiri. Haiwezekani nchi yako ina raslimali za kila aina! Halafu bado unaendekeza umatonya.
Bora yeye anatafuta nje analeta ndani.Mr Kukwapua namba moja. Amejimilikisha maeneo ya Congo mpaka wanapigana na Uganda kwa rasilimali ambazo siyo zao.
Ndio akina Samia hao wanarandaranda huku na huko wakiomba."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Huyo mtusi achana naye anaakili na maarifa kuzidi viongozi wote wa Afrika mashariki na ukanda wote wa kusini.Yule mtutsi itakuwa tumemkanda mahali si bure, na sasa tuongeze majeshi yetu yakawakumue zaidi M23 watokomee kwao Rwanda na wakija bongo tuwadake tuwakabidhi kwa serikali ya Congo DRC.
Ni hatari mno kuruhusu waasi wa Congo toka Rwanda kumiliki sehemu ya Congo maana wakitamalaki huko Goma lazima watatest mitambo bongo.
Sisi bongo hatuombi tunakopa na uwezo tunao tunalipa, mtutsi anajitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo ni aina tu ya mayowe ya mkosaji.
Mama Sa100 mbele kwa mbele
Nimecheka sana kwa huzuni.Ujinga wa miaka 300 iliyopita bado wanao viongozi wengi sana kwenye nchi za kiafrika
Naona ni ugonjwa wa akili sio bure
Haiwezekani unajua kabisa unaomba ili uibe
chama kimejaa majitu majinga haswaBaadaye akija Kiongozi mwingine, wanageuka tena kumsema huyu aliyepo, wakati walikuwa na nafasi ya kumshauri
Hovyo kabisa Hawa watu
Umemaliza mjadala.Twakuunga mkono asilimia 100.Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Mkuu hata kuchapia pia huleta vicheko, toa comment kama ulivyoombwa Mkuu.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
🤣 🤣 🤣
✍️📝👍👌👊🙏Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Yeye pia alikuwepo Seoul"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Najua kua Lucas Mwashambwa amesoma sana,yani amesoma mpaka nyuma ya kitabu,Ungejua Lucas ni muhitimu wa degree ya uinjinia ungetulia😂🤸
Hahahah, pole mkuu kumbe ule ulaghai wa Juwe ulikuwa unauamini!!!Hizo aibu Magufuli hakuzitaka, hakuna wskukujengea nchi na Kwa sera za Rais Samia kamwe hatokuja kukuza uchumi imara Kwa nchi hii
Kagame anazungumzia viongozi kutoka nchi zenye Rasilimali nyingi kama Tanganyika. Muwage mnasoma na kuelewaKwamba kagame Hakopi ? Tena yeye ndo ameshindikana mpaka anajitwalia mali za nchi za waafrica wenzao kwa Mabavu
Hawana akili mkuu, wanaomba ujenge barabara halafu kila leo ajaliNimecheka sana kwa huzuni.
"Wanaomba ili waibe"
Huu ni utaahira aysee,
wewe ni kiongozi inakuwaje tena wewe ndio unakwiba?
Nimeshatoa tayariMkuu hata kuchapia pia huleta vicheko, toa comment kama ulivyoombwa Mkuu.