Akuu Kosugi as kosugi sina ID ingine.Kumbeeeeee ile id ni wewe! Kuna mtu ananiita mshumaa kumbe mnajuana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuu Kosugi as kosugi sina ID ingine.Kumbeeeeee ile id ni wewe! Kuna mtu ananiita mshumaa kumbe mnajuana
Mmmh!😎Akuu Kosugi as kosugi sina ID ingine.
Lakini mzee wa Kino si bora hata anayeomba kuliko Kagame anayeua waafrika wenzake huko DRC na kuwapora rasilimali zao? Vita ya kumweka Kabila madarakani akisaidiwa na Kagame iliondoka na mamilioni ya roho za watu wasio na hatia. Kagame ni mnafiki kama walivyo wanasiasa wengine wakiongozwa na wale wa CHADEMA.Wafrika kinachotusumbua ni akili za watawala wetu
Hatuwezi tukawa na rasilimali zote
Anakuja mtu anavuna anapeleka kwao alafu anakuja tena kutuuzia
Vifaa nk,kwa mali iliyotoka kwetu wenyewe
Ova
Kagame ni muuaji. Hana uhalali wowote wa kutoa ushauri kwa marais wenzake. Huko Kongo wananchi wanauwawa mno na huyo Kagame. Ni afadhali mara 100 Rais anayeomba kuliko anayeua waafrika wenzake. Labda tuwaulize CHADEMA kama Kagame ndo role model wao..Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Lucas Mwashambwa hili jibu Ni nje ya mada.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Muone huyu ushajisahau binti wa kununanuna wewe!?Mmmh!😎
Mwantum mwenyewe
Lucas Mwashambwa njoo umjibu huyu umenipa niniNa huyu Luca kakupa nini we mhaya!?
Ukweli ukisemwa na yeyote utabaki kuwa ukweli.Kagame ni muuaji. Hana uhalali wowote wa kutoa ushauri kwa marais wenzake. Huko Kongo wananchi wanauwawa mno na huyo Kagame. Ni afadhali mara 100 Rais anayeomba kuliko anayeua waafrika wenzake. Labda tuwaulize CHADEMA kama Kagame ndo role model wao..
Kagame Hana hata degree moja lakini amefanya Rwanda kuwa the safest, the cleanest, the most progressive country in the region, the fastest growing economy in the region.Kagame aliwahi kupewa zile PhD za hovyo
Sasa hii balaa ccm wailiitwaa wapi mungu wa mbinguni?Kagame Hana hata degree moja lakini amefanya Rwanda kuwa the safest, the cleanest, the most progressive country in the region, the fastest growing economy in the region.
Wenye PhD za bongo hata kusimamia mabasi Mia mbili ya mwendokasi hawawezi. Mabasi hayana completion ya namna yoyote. Kukusanya nauli tu na kununua vipuri mwenye PhD hawezi. Hizi Ni PhD za Julia ugali wa udaga na kichuri.
Nafikiri ujumbe huu unawahusu African stupid Leaders.."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Naweza danganya wote lakini siyo wewe. Nasubiria shahada ya luka.Sidanganyiki ng'oo..!🤸
Haha wanakuchukulia poaAcha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
PK the mastermind..."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379