Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Sio mwashambwa hata big brains wa ccm watakimbia hilo!

Ni sisi wachache Sana tunaosema "Boresha ukusanyaji mapato na vutia wawekezaji Ili ku unlock uchumi,kwasasa punguza kukopa coz deni la taifa sio himilivu"

Huo ndio ukweli!
 
Wafrika kinachotusumbua ni akili za watawala wetu
Hatuwezi tukawa na rasilimali zote
Anakuja mtu anavuna anapeleka kwao alafu anakuja tena kutuuzia
Vifaa nk,kwa mali iliyotoka kwetu wenyewe

Ova
Lakini mzee wa Kino si bora hata anayeomba kuliko Kagame anayeua waafrika wenzake huko DRC na kuwapora rasilimali zao? Vita ya kumweka Kabila madarakani akisaidiwa na Kagame iliondoka na mamilioni ya roho za watu wasio na hatia. Kagame ni mnafiki kama walivyo wanasiasa wengine wakiongozwa na wale wa CHADEMA.
 
Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.

Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?

Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.

Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.

Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Kagame ni muuaji. Hana uhalali wowote wa kutoa ushauri kwa marais wenzake. Huko Kongo wananchi wanauwawa mno na huyo Kagame. Ni afadhali mara 100 Rais anayeomba kuliko anayeua waafrika wenzake. Labda tuwaulize CHADEMA kama Kagame ndo role model wao..
 
Kagame ni muuaji. Hana uhalali wowote wa kutoa ushauri kwa marais wenzake. Huko Kongo wananchi wanauwawa mno na huyo Kagame. Ni afadhali mara 100 Rais anayeomba kuliko anayeua waafrika wenzake. Labda tuwaulize CHADEMA kama Kagame ndo role model wao..
Ukweli ukisemwa na yeyote utabaki kuwa ukweli.
Licha ya madhaifu aliyo nayo Kagame ila amenena ukweli.
Usimhukumu yule aliyesema bali yahukumu manenoye.
Achana na Kagame ila sikiliza je alichozungumza Kagame kina ujazo!?
 
Mfano mdogo tuu, tuna gas inayoweza kuwasha umeme wetu miaka 100 na zaidi na nyingine tuka export na kupikia kila mtu, cha ajabu 90% bado wanatumia kuni na umeme hatuna kila siku migawo na visingizio kibao, hii ndio akili ya CCM na chawa mwanshambwa na buku saba wenzake wanaipa promo kila siku
 
Kagame aliwahi kupewa zile PhD za hovyo
Kagame Hana hata degree moja lakini amefanya Rwanda kuwa the safest, the cleanest, the most progressive country in the region, the fastest growing economy in the region.
Wenye PhD za bongo hata kusimamia mabasi Mia mbili ya mwendokasi hawawezi. Mabasi hayana competition ya namna yoyote. Kukusanya nauli tu na kununua vipuri mwenye PhD hawezi. Hizi Ni PhD za Julia ugali wa udaga na kichuri.
 
Kagame Hana hata degree moja lakini amefanya Rwanda kuwa the safest, the cleanest, the most progressive country in the region, the fastest growing economy in the region.
Wenye PhD za bongo hata kusimamia mabasi Mia mbili ya mwendokasi hawawezi. Mabasi hayana completion ya namna yoyote. Kukusanya nauli tu na kununua vipuri mwenye PhD hawezi. Hizi Ni PhD za Julia ugali wa udaga na kichuri.
Sasa hii balaa ccm wailiitwaa wapi mungu wa mbinguni?
 
Back
Top Bottom